tag:blogger.com,1999:blog-30319952914240450522024-03-13T18:48:18.239+03:00DIRA YA MAFANIKIOBadili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.comBlogger977125tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-35156218559995985872023-12-20T13:57:00.000+03:002023-12-20T13:57:53.491+03:00Epuka Sana Kupoteza Muda Wako Wa Mafanikio Kwa Sababu Ya Kitu Hiki.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-Qb6IucdI-_Y/VdK-FSFT_DI/AAAAAAAAAhA/EV_33_jLF3k-xNRkelwmpJx4gBSWe5GowCPcBGAYYCw/s1600/Time-Money.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="426" data-original-width="640" height="266" src="https://2.bp.blogspot.com/-Qb6IucdI-_Y/VdK-FSFT_DI/AAAAAAAAAhA/EV_33_jLF3k-xNRkelwmpJx4gBSWe5GowCPcBGAYYCw/s400/Time-Money.jpg" width="400" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<span style="line-height: normal;"><div><span style="line-height: normal;">Na Melisa Kawa, Dar es salaam, Tanzania.</span></div><div><span style="line-height: normal;"><br /></span></div>Kabla hujaanza siku yako mpya, kuna namna ambavyo unakuwa unaipangilia siku yako jinsi itakavyokuwa. Kuna mipango ambayo unakuwa unajua kabisa kwamba utaifanya muda huu au ule, unachokuwa ukifanya ni kwenda na ratiba yako tu ya muda.</span><br />
<span style="line-height: normal;"><br /></span>
<span style="line-height: normal;">Sasa wakati umepangilia vitu vyote hivyo, na wakati huo huo mtu akakuuzi au ukakasirika kwa muda mrefu, je ulishajiuliza hasira hizo unazozibeba zinakupotezea muda kiasi gani? Maana ni hatari sana kukasirika kwa muda na kusahau kufanya majukumu mengine ya msingi.</span><br />
<span style="line-height: normal;"><br /></span>
<span style="line-height: normal;">Maana Unaweza ukakasirika wee, ukapoteza muda mwingi ukiwa na hasira, lakini yote hayo kumbuka hayakuwepo kwenye ratiba zako, kikubwa jua kabisa hapo utakuwa unapoteza muda wako bure kwa kujibebesha mzigo unaokuumiza lakini ambao hukutakiwa kuwa nao.</span><br />
<span style="line-height: normal;"><br /></span>
Kikubwa cha kujifunza hapa, jua namna ya kutumia muda wako vizuri, usipoteze muda wako kwa vitu kama hasira za muda mrefu na visasi visivyo na maana. Tumia muda wako kwa faida. Tumia muda wako kupanga mipango itakayokusaidia na si kukupotezea muda.Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-59509549088789137282022-11-23T09:29:00.000+03:002022-11-23T09:29:09.787+03:00Ushauri Kwa Kijana Aliye Mtaani, Hana Ajira, Haoni Cha Kufanya.<p>Kuna watu hawajui cha kufanya, yaani ni watu ambao hawajui wafanye nini ili walau waingize kipato. Kwa bahati mbaya watu hawa huwa ni wahitimu wa chuo kikuu na wengine ni watu wa kawaida. </p><p>Hebu fikiria, inakuwaje kwa mhitimu wa chuo kikuu anakuwa hajui cha kufanya? Lakini hali hiyo ndio huwa ipo mtaani na ndio uhalisia wenyewe unakuwa uko hivyo. </p><p>Angalia kile unachopenda, unajua kuchora, kuimba, kuigiza, kuchekesha, fanya hivyo na kisha waonyeshe watu kile ulichonacho na uachane na kulala.</p><p>Jifunze kutengeneza tovuti, jifunze kuendesha mitandao ya kijamii kibiashara, jifunze graphics na vitu vingine vingi vitakavyokulipa baadae.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0d7R1decu4tf2Zlw81GdivQCzxzime7LJIQUtG--o7QOitclNQ-ZLUmQvvcJaes8UMitAC2TUmUtsrjysF85JhguvKk85KylDLQ1uK1HMrzJY_L-5WOLqy6ehcTqzX11LFoHAg7uvzpZMq4Gmq8da3tapsz2A5AK_I96YD2tsw6ocA3SmhZGGyR7S7A/s626/woman-working-at-her-office-desk_385-19323848.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="417" data-original-width="626" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0d7R1decu4tf2Zlw81GdivQCzxzime7LJIQUtG--o7QOitclNQ-ZLUmQvvcJaes8UMitAC2TUmUtsrjysF85JhguvKk85KylDLQ1uK1HMrzJY_L-5WOLqy6ehcTqzX11LFoHAg7uvzpZMq4Gmq8da3tapsz2A5AK_I96YD2tsw6ocA3SmhZGGyR7S7A/s320/woman-working-at-her-office-desk_385-19323848.jpg" width="320" /></a></div><p>Tumia simu yako kuuza vitu vya watu wengine. Unaweza kuongea na mtu mwenye duka ukawa unauza vitu mtandaoni kisha unapata asilimia kadhaa.</p><p>Ukiweza fanya udalali wa viwanja, nyumba, vyumba, vyombo na bidhaa zingine ila fanya kwa weledi mkubwa.</p><p>Kama unapitia hali hiyo usipate shida sana, ndio maana dirayamafanikio.blogspot.com ipo kwa ajili yako kukupa mwelekeo wa maisha. Kwa kuwa huna kazi, usilale mpaka saa tatu, badala yake fanya haya:-</p><p>Kipindi ambacho huna ajira na huna labda smartphone, unaweza kujifunza ujuzi mpya utakaokulipa zaidi kwa baadae.</p><p>Jifunze ufundi, namna ya kutenengeneza simu zilizoharibika, kutengeneza friji, pasi, tv au redio. Unaweza ukajifunza vyote au kimoja unachopenda.</p><p>Ongea na wafanyabiashara wenye maduka, ili hata uweke pesa kidogo rehani, kama laki moja, ili uwe unachukua vitu dukani kwao na kuviuza kwa mali kauli, visiponunuliwa unawarudishia vitu vyao.</p><p>Nenda sokoni toa uvivu na aibu, tafuta kitu kimoja uza, iwe ni mboga za majani, dagaa na hii itakuondolea uvivu na kukuonyesha fursa mpya.</p><p>Fanya umachinga, uza bidhaa ndogo ndogo, kama chaji, cover, protector, hapa mtaji unaweza kuanza na laki moja tu.</p><p>Kumbuka watu ni mtaji, hakikisha unafahamiana na watu muhimu. Hawa watakusaidia kupata wazo, mtaji au kushirikiana na wewe.</p><p>Wakati mwingine katika makala zinazokuja tutaangalia biashara unazoweza kuzifanya kwa mtaji mdogo. Kitu kikubwa na cha msingi, endelea kujifunza kupitia dirayamafanikio.blogspot.com</p><p>Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.</p><p>Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza kwa kina.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-50955706279205102882022-11-22T04:00:00.000+03:002022-11-23T09:40:40.929+03:00WAZO LA KUJIAJIRI: Biashara Ya Vikombe Vya Chai Vyenye kubadili Rangi Vikiwekwa Chai Au Maji Ya Moto.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-NWOi1qG7ofc/XvH4lMJwqiI/AAAAAAAAD84/HnigxzLzMQ8NZyedXeuPJsRMgWCN8HkVgCLcBGAsYHQ/s1600/product-500x500.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" data-original-height="500" data-original-width="500" height="400" src="https://1.bp.blogspot.com/-NWOi1qG7ofc/XvH4lMJwqiI/AAAAAAAAD84/HnigxzLzMQ8NZyedXeuPJsRMgWCN8HkVgCLcBGAsYHQ/s400/product-500x500.jpeg" width="400" /></a></div><div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"><span style="font-size: 12pt; text-align: justify;"><br /></span></div><div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"><span style="font-size: 12pt; text-align: justify;">Naam,
wala usishangae najua tumezoea kunywa chai kwa kutumia vikombe hivi vya kawaida
ambavyo havina kitu cha kushangaza pindi utuamiapo. Sasa katika wazo letu la
kujiajiri tunakuleta wazo jipya ambalo kwa baadhi ya watu huenda likawa ni geni
kabisa. Wazo hili si jingine bali ni vikombe vya udongo ambavyo hubadili
mwonekano hasa pale vinapowekwa maji ya moto au chai.</span>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Vikombe
hivi ni vizuri sana ndugu yangu kwa sababu ya uimara wake lakini najua pindi
utakapoamua kuifanya biashara ya vikombe hivi utawashangaza wengi sana na
kiukweli utapata wateja wengi sana. Chukua sekunde chache wawaze mamantile
waliopo mtaani kwako, usiishie hapo endelea kuwaza mahotel ambayo upo nayo
karibu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Endelea
kuwaza wale watoto ambao hawapendi kunywa chai, vipi ukimpa mtoto huyo chai
kwenye kikombe ambacho kitaonesha sura yake pamoja na jina lake bila shaka
mtoto huyo hata kusumbua tena kwenye suala la kunywa chai na uji pia, kwa
sababu mtoto huyo atashangaa majabu ya kikombe hicho pia hivyo atakunywa tu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Endelea
kuwaza kwa sauti ya chini, Vipi mumeo anaamka asubuhi kabla ya kwenda kazini
anakuta umemuwekea maziwa kwenye kikombe kimeandikwa “ <b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;">I love you Benson</i></b>” na
hilo ndilo jina la mumeo na akimaliza kunywa chai hiyo hayo maandishi yanatopea
hadi kesho tena kikombe hicho kikiwekewa chai, bila shaka mumeo huyo
atafarijika na michepuko haitakuwa<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>nafasi tena na utafurahia ndoa yako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kwa
mifano hiyo michache utaona ni kwa namna gani vikombe hivo jinsi vitakavyokupa
hela nyingi kwa sababu kwa hapa nchini kwetu havipo kwa wingi, hivyo bado ni
fursa ambayo ni mbichi kabisa. Hivyo ni nafasi yako mwafaka wa kukamatia fursa
hii na kuanza kuifanyia kazi ili uanze pia kujitengenezea pesa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kumbuka;</span></b><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">
Vikombe hivi <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hubadilisha rangi, picha,
maneno<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>kila vinapowekwa chai au maji ya
moto hivyo ni fursa sana kama utaifikiria<span style="mso-spacerun: yes;">
</span>kwa jicho la tatu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">-------------------------------------------------------------------------------------------------<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">MUHIMU: Kama utakuwa<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>upo tayari na unahitaji kufanya biashara hii
wasiliana na uongozi wa DIRA YA MAFANIKIO kwa nambari 0757 909 942 au bofya
namba hii tuwasiliane kupigia whatsapp </span></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="background: white; color: black; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><a href="mailto:wa.me/+25575790994213048035">wa.me/+255757909942</a></span></b><span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="background: white; color: black; font-size: 12pt; line-height: 115%;"> </span><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hii au email yetu ya </span></b><span lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><a href="mailto:dirayamafanikio@gmail.com"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif">dirayamafanikio@gmail.com</span></b></a></span><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">------------------------------------------------------------------------------------------------<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Makala hii <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>imeandikwa; Benson Chonya<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><a href="mailto:Bensonchonya23@gmail.com"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif">Bensonchonya23@gmail.com</span></b></a></span><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"> <o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""segoe ui" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">------------------------------------------------------------------------------------------------<o:p></o:p></span></b></div>
<br /></div>
Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-22708781600588577842022-11-21T04:00:00.000+03:002022-11-23T09:32:43.238+03:00Umaskini Wako Unasababishwa Na Kitu Hiki Tu,...<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-A7Zo_aEfgpw/VZPmo1H0gWI/AAAAAAAAAbw/liM91G0lhrMJZdsbTTnTXj61XCxkR9-NQCPcBGAYYCw/s1600/NH.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1000" data-original-width="997" height="640" src="https://1.bp.blogspot.com/-A7Zo_aEfgpw/VZPmo1H0gWI/AAAAAAAAAbw/liM91G0lhrMJZdsbTTnTXj61XCxkR9-NQCPcBGAYYCw/s640/NH.jpg" width="638" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Watu
sio maskini eti kwa sababu hawana pesa, watu ni maskini ni kwa sababu ya <b>mawazo
yao</b>. Unaweza ukawa unapato zuri sana lakini ukabaki kuwa maskini katika maisha.
Kitakachokufanya uwe maskini ni matumizi ya mawazo yako katika kukufanikisha. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Wapo
watu wengi sana ambao wana kipato kikubwa lakini wanashindwa kufikia utajiri.
Hapo hakuna uchawi wowote ni matokeo ya matumizi ya mawazo. Wataalamu wa mambo
ya mafanikio wanatuambia hivi, asilimia 90 ya matatizo yote ya pesa yana
sababishwa na matumizi ya mawazo au akili zako. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Hivyo,
ni muhimu sana kila wakati kuangalia, je mawazo yako yana uwezo wa kukufikisha
kule unakotaka kufika kimafanikio? Ukiona una mashaka hata kidogo, ongeza juhudi
ya kujifunza na kutamani kujua kila kitu kinachohusiana na pesa na mafanikio
maishani mwako.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Wewe
ni tajiri mkubwa sana, ikiwa utajiamini na kukubali kutumia nguvu kubwa ya
mawazo uliyo ndani mwako kukufanikisha. Miaka kadhaa mbele naamini utakuja kunitafuta
na kuniambia aisee ni kweli ulichosema Imani. Yote hayo yanawezekana kwako,
hakuna uchawi zaidi kuchukua hatua na kujituma. <o:p></o:p></span><br />
<span face=""arial" , sans-serif"><br /></span>
<span face=""arial" , sans-serif">Pia rafiki, kama unapenda kujifunza zaidi kuhusu mafanikio, karibu kwenye kundi la </span><b style="font-family: arial, sans-serif;">WHATS APP LA MAFANIKIO</b><span face=""arial" , sans-serif">, kujiunga tuma neno </span><b style="font-family: arial, sans-serif;">THE UNIVERSITY OF WINNER’S</b><span face=""arial" , sans-serif"> kwenda </span><b style="font-family: arial, sans-serif;">0687449428</b><span face=""arial" , sans-serif"> hapo utapata utaratibu mzima wa kujiunga</span><b style="font-family: arial, sans-serif;">.</b><br />
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"></span><br />
<div style="margin-top: 12pt; text-align: left;">
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="font-size: 12pt;"><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Kumbuka, ufalme hauji kwa maneno bali unakuja kwa vitendo,...chukua hatua. </span></b></div>
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Nikutakie kila la kheri,</span><span face=""arial" , sans-serif"></span></div>
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b><span face=""arial" , sans-serif">DAIMA TUPO PAMOJA MPAKA NDOTO ZAKO ZITUMIE,</span></b><span face=""arial" , sans-serif"></span></div>
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Ni wako rafiki katika mafanikio,</span></b><span face=""arial" , sans-serif"></span></div>
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">IMANI NGWANGWALU,</span></b><span face=""arial" , sans-serif"></span></div>
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Mawasiliano, Whats app 0687449428,</span></b><span face=""arial" , sans-serif"></span></div>
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Email; dirayamafanikio@gmail.com</span></b><span face=""arial" , sans-serif"></span></div>
<div style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Blog; <a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/">dirayamafanikio.blogspot.com</a></span></b></div>
</div>
</div>
<br /></div>
Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-7586947611824412552022-11-20T07:40:00.000+03:002022-11-20T07:40:11.613+03:00Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuweka Jitihada Usikose Pesa.<p>Kukosa pesa ni kilema kikubwa sana katika huu ulimwengu tuliopo. Ukiwa huna pesa changamoto kwako ni nyingi na unakuwa upo kwenye ukilema mkubwa usioujua.</p><p>Maskini wa kipato kidogo hata akiwa na mawazo mazuri bado hatapewa kipaumbele katika jamii yake kama vile pumba za tajiri zinavyopewa kipaumbele kikubwa zaidi.</p><p>Mungu mwenyewe analijua hilo ndio maana baada ya mfalme sulemani kumuomba hekima, Mungu akaamua kumpatia na utajiri kama ziada ya maombi yake.</p><p>Maana alijua kuwa hekima ya maskini inadharauliwa, wala maneno yake hayasikilizwi.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhF3A9_ofHa3Lb2D3cflPW6__X16FdVqWRaIYieKZBsEqVWMy1BMyB4wT22ug-vfxmqfeettlftERt4KXmSS2yPHnwfdsfjwUuXIs5_UyR-tbSccFMff20bbLe9kNLyGvolvrcEucdFhYKj4uEDHaCsqSo48lHO8mfw_FAV2xvMVdyKIYkZjUKIj3nKFA/s620/b389Tanzania-Shilling.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="345" data-original-width="620" height="178" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhF3A9_ofHa3Lb2D3cflPW6__X16FdVqWRaIYieKZBsEqVWMy1BMyB4wT22ug-vfxmqfeettlftERt4KXmSS2yPHnwfdsfjwUuXIs5_UyR-tbSccFMff20bbLe9kNLyGvolvrcEucdFhYKj4uEDHaCsqSo48lHO8mfw_FAV2xvMVdyKIYkZjUKIj3nKFA/s320/b389Tanzania-Shilling.jpg" width="320" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="text-align: left;">Binafsi nawapongeza wote ambao wanahamasisha wengine kutafuta pesa, maana wakizipata wataheshimiwa.</span></div><p>Umaskini ni mbaya sana, na unapaswa kuchukiwa kwa nguvu zote, nami nasema hakuna mpumbavu duniani zaidi ya anae ona ufahari kuwa juu ya umaskini.</p><p>Umaskini sio baraka ni laana, ndani ya umaskini kuna ujinga mwingi, maradhi sugu, pamoja na kuonewa, nenda kwenye magereza au vituo vya polisi utakuta 90% ya walioshikiliwa ni maskini.</p><p>Nenda kwenye hizi hospital za kawaida, utakuta wanaoteseka wengi ni maskini, hata anaetumiwa mgambo waende kumkamata huyo ni maskini kwa sababu, wenye pesa hutumiwa barua ya wito na atajisalimisha mwenyewe maana utajiri unampa ujasiri wa kutokuogopa hovyo.</p><p>Ndugu yangu unaesoma ujumbe huu, anza kuuchukia umaskini kama unavyochukia harufu mbaya na uogope kama vile unavyoogopa magonjwa yasiyotibika, hiyo itakusaidia upate hamasa ya kutafuta pesa na kuwa tajiri katika siku zote za maisha yako.</p><p>Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.</p><p>Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-35699699874363354412022-11-19T10:25:00.000+03:002022-11-19T10:25:20.505+03:00Mambo Ambayo Mungu Hawezi Kufanya..<p>Ni muhimu kujua yapo mambo ambayo Mungu anaweza kufanya kwa ajili yako na yapo baadhi ya mambo ambayo Mungu hawezi kufanya. Hebu, tuangalie mambo ambayo Mungu hawezi kufanya.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbCYNQ1QdZbNJ7qeCRtUGb291llwj0HTeez-iZqxEjxvjDUUV0aH3YMeMNIWg1kQvTveoBIrD3EFMFAPSMmUZZNFKnyORggpiN0ATG8Tp7rsEJoaDPuEhI4GhDSb1TKTiOrg_-houCjmpFqSjKXD2AZTTR9vfJyZroPtaQ4Cug6gYdabYKg-hAA7Fiug/s320/Book.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="308" data-original-width="320" height="308" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbCYNQ1QdZbNJ7qeCRtUGb291llwj0HTeez-iZqxEjxvjDUUV0aH3YMeMNIWg1kQvTveoBIrD3EFMFAPSMmUZZNFKnyORggpiN0ATG8Tp7rsEJoaDPuEhI4GhDSb1TKTiOrg_-houCjmpFqSjKXD2AZTTR9vfJyZroPtaQ4Cug6gYdabYKg-hAA7Fiug/s1600/Book.jpg" width="320" /></a></div><p>1. Mungu hawezi kudanganya.</p><p>2. Mungu hawezi kubariki uongo.</p><p>3. Mungu hawezi kubadilika.</p><p>4. Mungu hawezi kuwa mdogo kuliko changamoto yako.</p><p>5. Mungu hakumbushii makosa yaliyopita, akikusamehe amesamehe.</p><p>6. Mungu hana upendeleo.</p><p>7. Mungu hawezi kukuacha.</p><p>8. Mungu hawezi kubariki hali ya mashaka.</p><p>9. Mungu hawezi kuvunja agano lake.</p><p>10. Mungu hawezi kuwa dhaifu.</p><p>Haya ni baadhi ya mambo ambayo Mungu hawezi kufanya kabisa.</p><p>Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.</p><p>Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-53712372252897030792022-11-18T17:13:00.000+03:002022-11-18T17:13:08.866+03:00Hawa Ndio Marafiki Wa Kuwa Nao.<p>Ni muhimu kuzungukwa na marafiki wazuri, ambao watatupa imani na kujiamini hata kwenye nyakati ngumu. Ukiwa na marafiki wa aina hiyo ni rahisi kuwa mshindi kimafanikio wakati wote.</p><p>Tatizo la watu wengi wana marafiki ambao hawana msaada. Ukitaka kujua hilo ngoja itokee changamoto, ndio utaona. Wengi wataanza kukimbia kama Yesu alivyokimbiwa na wanafunzi wake.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqqYk8iSrUEs5rVXLT0BTjYJb2zcdjvnoC8mkyZbzYgA3uOFuEbbf6ARDJe1pKBPt5SNta-olIgMClU1SwFko-G3_b6TMcFQ_a_zvb83hRf9nUP3ft-qpGjwi6qdVFU3klj4vnyLxlBSjf-rasOQBpPuG8zNaeG8rEzDMde6ZemEySCzqCB5HQlkGQEw/s1000/shutterstock_61234468.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="875" data-original-width="1000" height="280" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqqYk8iSrUEs5rVXLT0BTjYJb2zcdjvnoC8mkyZbzYgA3uOFuEbbf6ARDJe1pKBPt5SNta-olIgMClU1SwFko-G3_b6TMcFQ_a_zvb83hRf9nUP3ft-qpGjwi6qdVFU3klj4vnyLxlBSjf-rasOQBpPuG8zNaeG8rEzDMde6ZemEySCzqCB5HQlkGQEw/s320/shutterstock_61234468.jpg" width="320" /></a></div><p>Ukiona una marafiki hao waweke pembeni haraka, kwa sababu hawatakusaidia kufikia ndoto zako. Hawa ni marafiki ambao wanataka mcheke na mfurahi wakati wa raha tu, ila wakati wa shida huwaoni tena.</p><p>Ni kheri kubaki ukiwa mwenyewe kuliko ukajikuta ukawa na kundi kubwa la marafiki ambao ni wanafiki, marafiki kupe. Marafiki wanafiki wote watupe huko, watakusaidia nini, ni sawa na utakuwa unajichosha.</p><p>Kaa na watu wenye akili. Kaa na marafiki wenye akili, watakaokupa moyo, hamasa, kujiamini kwenye harakati za kuelekea mafanikio yako. Wengine waliobakia basi iishie kujuana tu, inatosha.</p><p>Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.</p><p>Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-80474567718199147072022-11-17T11:22:00.002+03:002022-11-17T11:22:52.775+03:00Hivi Ndivyo Njia Ya Mafanikio Ilivyo...<p>Njia ya mafanikio ni ndefu. Hakuna njia ya mafanikio iliyo fupi. Njia ya mafanikio ni ndefu kwa sababu, katika urefu huo huo, ndimo kuna kujifunza kwingi.</p><p>Ikiwa unatafuta njia ya mkato, basi wewe unatafuta kuwa na msongo wa mawazo na kijichanganya zaidi. Njia za mkato hazina kujifunza zaidi utaumia tu wewe.</p><p>Mafanikio ni sawa na mbio za muda mrefu. Mafanikio sio mbio za muda mfupi, hivyo inakubidi ukubali kujifunza kwa namna yeyote ile. Ili ujifunze lazima ufuate njia ndefu.</p><p>Kuna hadithi moja, inayoeleza kwa ufasaha juu ya hili kuwa ni muhimu kufuata njia ndefu iliyoko kwenye mpango wa Mungu ili kufanikiwa na kujifunza mengi zaidi.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirTlFnvG43J8qv3i1fz_omUgvG4TkjFRyL8V7ShCQQfFHZekj6hs5J7ZgzMu8cfkZF8wafo86Mad-q09QxVfzzfsKrDIQ4XNhunnJ7CpZpT1kwgzTa7C0Gj_U3CCSw_CUc4sgc0NebYn8v4VseO4YuTmt3xL8Ldx_Mn-2alhv8WF26INtQWbSPt1cO9g/s313/download.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="161" data-original-width="313" height="161" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirTlFnvG43J8qv3i1fz_omUgvG4TkjFRyL8V7ShCQQfFHZekj6hs5J7ZgzMu8cfkZF8wafo86Mad-q09QxVfzzfsKrDIQ4XNhunnJ7CpZpT1kwgzTa7C0Gj_U3CCSw_CUc4sgc0NebYn8v4VseO4YuTmt3xL8Ldx_Mn-2alhv8WF26INtQWbSPt1cO9g/s1600/download.jpg" width="313" /></a></div><p>Kulikuwa na ndege mmoja ambayo alikuwa mzuri sana. Ndege huyo kila ilipokuwa ikifika jioni alikuwa anatua kwenye mti na kuanza kuimba nyimbo nzuri sana za kuvutia.</p><p>Siku moja wakati anaimba, mara alitokea mtu akiwa ameshikilia boksi, yule ndege akauliza, vipi mbona umebeba boksi kama zito hivi humo ndani lina nini? yule mtu akamwambia lina minyoo.</p><p>Yule ndege akafikiria akamwambia basi, naomba mmoja. Yule mtu akamwambia nipe na wewe nyoa moja na mimi nakupa mnyoo mmoja. Basi ndege akakubali akawa anatoa nyoa, anapewa mnyoo, mwisho wa siku ndege akajikuta hana manyoa karibu yote.</p><p>Ule uzuri aliokuwa nao ukawa umetoweka. Akawa hawezi kuruka tena. Kitu kikubwa kilichomwathiri ni kutaka kutafuta njia ya mkato ya kutafuta chakula wakati njia nzuri alikuwa nayo.</p><p>Hivyo, ndivyo athari za kutafuta njia za mkato zinavyojitokeza. Ni vyema na ni bora ukafata njia ndefu ikawa na manufaa kuliko njia fupi yenye majanga makubwa.</p><p>Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.</p><p>Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-8026801972241389392022-11-16T11:50:00.004+03:002022-11-16T11:50:53.993+03:00Hizi Ndizo Faida Za Msamaha.<p>Ipo haja ya wewe kujifunza msamaha hata kama kuna waliokukosea kwa kiasi kikubwa sana.</p><p>Ipo faida ya kusamehe. Msamaha unaweza kusababisha: </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsSxWazVKBsufHF7L-clzPZZYFsmZFRhaQWKp-BsV3swK2qZMRlttgwfeMOJF9CDICJq6c9voi1kz0LTQGRHIGUR7IkdjFc2KbaPxGkCT7Mf4nSlGSdehi67K5SK3-FiqittzPlSu5KdKs1bvoSh1ewMaLH3lTj8Yp5TxCibNoBoXqsmLi7tYngVeIWQ/s724/blame.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="724" data-original-width="663" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsSxWazVKBsufHF7L-clzPZZYFsmZFRhaQWKp-BsV3swK2qZMRlttgwfeMOJF9CDICJq6c9voi1kz0LTQGRHIGUR7IkdjFc2KbaPxGkCT7Mf4nSlGSdehi67K5SK3-FiqittzPlSu5KdKs1bvoSh1ewMaLH3lTj8Yp5TxCibNoBoXqsmLi7tYngVeIWQ/s320/blame.jpg" width="293" /></a></div><p>1. Mahusiano yenye afya.</p><p>2. Kuboresha afya ya akili. </p><p>3. Kupunguza uadui. </p><p>4. Kutengeneza mfumo wa kinga wenye nguvu zaidi. </p><p>5. Uboreshaji wa afya ya moyo. </p><p>6. Kuboresha kujithamini zaidi. </p><p>7. Mungu pia anakuwa anakusamehe, kwa sababu umesamehe.</p><p>8. Moyo wako unakuwa hauna maumivu, tofauti na ambavyo ukishindwa kusamehe utaumia.</p><p>Hizo ni faida chache za kuwa na msamaha, ukizingatia zitakusaidia kuishi maisha yenye amani na furaha.</p><p>Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.</p><p>Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-65907080484368993842022-11-15T10:54:00.000+03:002022-11-15T10:54:22.131+03:00Usitishwe Na Watu Wa Aina Hii...<p>Katika maisha yako unatakiwa usitishwe na watu wa aina mbili, wakosoaji na watu wasio na shukrani. Hawa watu inatakiwa wasikutishe kwa lolote lile, maana ni watu ambao wapo na hawawezi kuisha. </p><p>Wewe jiruhusu kufanya mambo yako kama kuna ambao watakukosoa acha wakukosoe kwa jinsi wanavyotaka, kama kuna utakaowasaidia kisha wakashindwa kuwa na shukrani achana nao pia.</p><p>Inatakiwa ujue wakosoaji na watu wasio shukrani ndio watu pekee wanaweza wakakufanya uhisi huwezi kufanikiwa tena. Lakini elewa, hakuna mtu atakayekufanya ujihisi wa kawaida au kuacha ndoto zako bila ya ruhusa yako. </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-lTzZv3glhXY/YPz7aEzMGRI/AAAAAAAAEKw/pRnKN1Cz3f8ZNSbwK7tBz8QyFN3nIr-DACPcBGAYYCw/s640/success%2B%25281%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="427" data-original-width="640" height="214" src="https://1.bp.blogspot.com/-lTzZv3glhXY/YPz7aEzMGRI/AAAAAAAAEKw/pRnKN1Cz3f8ZNSbwK7tBz8QyFN3nIr-DACPcBGAYYCw/s320/success%2B%25281%2529.jpg" width="320" /></a></div><p>Watu wanaweza kusema sana kuwa huwezi hicho unachokifanya, lakini hiyo sio sababu ya wewe kujiona hutaweza. Mpaka ifike mahali ya kuwa huwezi inakutaka wewe ujiruhusu kuwa kweli sasa huwezi.</p><p>Unaweza kukosolewa sana, lakini hicho kisikutishe. Kama kile unachokifanya kipo kwa ajili ya kusudi la Mungu, acha wanaoendelea kusema waseme mpaka kesho, ila utafanikiwa. </p><p>Acha kuweka nguvu zako kwenye kukosolewa, zingatia kile unachofanya. Wakosoaji juu ya maisha yako hawawezi kuisha, ni wapo tu, leo watasema hiki na kesho watasema kile.</p><p>Si wakosoaji tu pia unaweza ukawa na watu wasio na shukrani lakini usipigwe na mshangao hata wakati wa Yesu katika wale wakoma kumi walioponywa ni mkoma mmoja aliyerudi na kushukuru.</p><p>Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.</p><p>Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-61887025573944092712022-08-07T08:58:00.002+03:002022-08-07T09:05:40.318+03:00Jinsi Ya Kukabiliana Na Kukatishwa Tamaa.<p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgmWbjcEHymqUDIGXY43KKnEHnbLJ1VfIWK4wo--7siEaDZx6Yqzl1p7yqwsZwspkTlXggEyVWLxJuC8VFt0Q4wzreUK9boDt1Eg1Bvyie5Fv63rC5xt6no69d7OrjxC0SIhY2ph1Z867fAiazdcb58_PINfoIkq4TKc8zKKSvBltxDS8e5OMKk87bJrg/s453/man-thinking-image-9TRpAMKqc.gif" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="364" data-original-width="453" height="257" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgmWbjcEHymqUDIGXY43KKnEHnbLJ1VfIWK4wo--7siEaDZx6Yqzl1p7yqwsZwspkTlXggEyVWLxJuC8VFt0Q4wzreUK9boDt1Eg1Bvyie5Fv63rC5xt6no69d7OrjxC0SIhY2ph1Z867fAiazdcb58_PINfoIkq4TKc8zKKSvBltxDS8e5OMKk87bJrg/s320/man-thinking-image-9TRpAMKqc.gif" width="320" /></a></div><br /><p>Ili kuishi maisha yako bora, unatakiwa ujifunze JINSI YA KUKABILIANA NA KUKATISHWA TAMAA, Kimsingi, hakuna mtu ambae hakatishwi tamaa, kila mtu kwenye maisha yake anakatishwa tamaa kwa namna moja au nyingine.</p><p>Kuna wanaokatishwa tamaa na mambo madogo madogo kama kukosa karo ya shule, kushindwa kupata mkopo, biashara kushindwa kwenda vizuri au kuchelewa usafiri, kushindwa kuongezewa mshahara na kushindwa kuvuna unavyotaka.</p><p>Kuna wanaokatishwa na mambo makubwa kama kufiwa na umpendae, kupoteza kazi, kuambiwa una ugonjwa ambao huwezi kupona, nyumba au biashara kuungua, ajali, kuachishwa kazi, ndoa kuvunjika, ajali inayokupa ulemavu na mengineyo.</p><p>Kwa vyovyote vile iwavyo, unapokatishwa tamaa na jambo lolote lile, kitu kikubwa kinachotokea kwako, IMANI YAKO INAKWENDA KUTIKISWA, Utaanza kuona kila kitu hakifai, hata kama ulikuwa na imani kubwa inashuka chini na kujikuta kushindwa kuchukua hatua.</p><p>Kitu cha kufanya hali ya kukatishwa tamaa inavyoingia ndani mwako, jitahidi sana kusahau yote yaliyokukatisha tamaa. Unatakiwa jiambie, YALIYOPITA YAMEPITA na sasa ni wakati wa kusonga mbele.</p><p>Usiruhusu YALIYOPITA yaharibu kesho yako. Usikae kwa kuendelea kuvunjika moyo kwa sababu ya matukio ambayo tayari YAMEPITA. Weka nguvu za uzingativu kwa yale unayoweza kubadilisha tu. Anzia hapo ulipo na hapo utaweza kukabiliana na kukatishwa tamaa.</p><p>Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno WINNER'S FAMILY kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</p><p>Hakimiliki©2021 Imani Ngwangwalu. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.</p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-43333971019761565402022-02-20T07:58:00.000+03:002022-02-20T15:58:40.811+03:00WAZO LA KUJIAJIRI: Biashara Ya Kupaka Kucha Rangi Kwa Kutumia Mashine bora.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-5t3CfXZTl8Y/YUlk79G8K7I/AAAAAAAAEW8/qIrARrSn3uMbh4rRev0AM1_ptE8uTU-FwCLcBGAsYHQ/s500/IMG-20210920-WA0009.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="500" data-original-width="500" height="400" src="https://1.bp.blogspot.com/-5t3CfXZTl8Y/YUlk79G8K7I/AAAAAAAAEW8/qIrARrSn3uMbh4rRev0AM1_ptE8uTU-FwCLcBGAsYHQ/w400-h400/IMG-20210920-WA0009.jpg" width="400" /></a></div><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Leo katika wazo letu kujiajiri, tunakuletea wazo la kuanzisha
biashara ya kupaka rangi kucha kwa kutumia mashine ya kisasa. Ndio nimesema
kupaka rangi kucha, usiwe na papara tulia. </span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kama unavyojua mjini, wadada wengi mjini wanapenda kupendeza na
wengi hujiremba kwa mengi ikiwa pamoja na kupaka rangi kucha.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Lakini kwa ilivyozoeleka na inavyojulikana, kucha nyingi
hupakaliwa kwa kutumia mkono. Ajabu katika nyakati hizi kwa sasa, ipo mashine
ya kufanya hivyo yaani kupaka kucha rangi.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kama nilivyokwambia kwa sasa ipo mashine ya kupaka kucha rangi.
Hii ni mashine ya kupaka kucha rangi. Huhitaji kutumia mkono ili rangi
ipakaliwe kwenye vidole vyako vya mkono. Unatumia mashine maalumu.</span><span face="Arial, sans-serif" style="color: #222222; font-size: 14pt;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Ni machine ambayo inapaka rangi za maumbile tofauti
tofauti zaidi ya 500, lakini pia hata ukijipiga picha wewe ukataka ihamie
kwenye kucha inawezekana.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Vitu unavyotakiwa uwe navyo ili mashine ifanye kazi vizuri ni
smart phone na rangi zake. Gharama za rangi si nyingi ni Tsh.35000/= inapaka
kucha 1000, ambapo hapo ni sawa na watu 100.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Ni mashine ambayo inapaka kucha kwa ubora wa hali ya juu sana,
na kucha zinakuwa za viwango. Huwezi kulinganisha na kucha zinazopakaliwa na
mkono.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Mashine hii inafaa kwa MJASIRIAMALI anayetaka kwenda ki digital,
hapa ukiiweka mjini, ndo habari ya mjini, nani apakaliwe kucha zake kwa mkono,
wakati mashine ipo ni dakika tano tu, kazi imeisha.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Jaribu kuwaza kwa sauti, jinsi utakavyoteka wakina dada, pindi
wakijua kwenye mtaa fulani au saluni fulani kuna mashine ya kupaka rangi kucha
kwa dakika tano tu.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Uzuri wa mashine hii kama nilivyosema hata ukimpiga picha mpenzi
wako au ukijipiga wewe, unaweza kuihamisha, kwenye kucha.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 14pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kwa leo katika wazo letu la KUJIAJIRI, tuishie hapa. Kama una
swali karibu na kama pia umeipenda na unaitaka mashine hii, karibu
tuwasiliane. </span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face="Arial, sans-serif" style="background-color: initial; color: #222222; font-size: 18.6667px;">Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face="Arial, sans-serif" style="background-color: initial; color: #222222; font-size: 18.6667px;">Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial; vertical-align: baseline;">THE UNIVERSITY OF WINNER'S</b><span face="Arial, sans-serif" style="background-color: initial; color: #222222; font-size: 18.6667px;"> kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span face="Arial, sans-serif" style="background-color: initial; color: #222222; font-size: 18.6667px;">Hakimiliki©2021 </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial; vertical-align: baseline;">Imani Ngwangwalu</b><span face="Arial, sans-serif" style="background-color: initial; color: #222222; font-size: 18.6667px;">. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.</span></p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-11512745104287812462021-10-06T08:35:00.002+03:002021-10-06T08:35:44.053+03:00Njia mbili ziletazo mafanikio maishani.<p> </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-My1tsi8ePgw/YV01adx_AwI/AAAAAAAAEaA/Z4ymtuKHp3sXHPplJV0Fv14IcS5W1xrIgCLcBGAsYHQ/s259/download%2B%25281%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="194" data-original-width="259" height="300" src="https://1.bp.blogspot.com/-My1tsi8ePgw/YV01adx_AwI/AAAAAAAAEaA/Z4ymtuKHp3sXHPplJV0Fv14IcS5W1xrIgCLcBGAsYHQ/w400-h300/download%2B%25281%2529.jpg" width="400" /></a></div><p></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Katika kufikia mafanikio yoyote yale, huwa zipo njia za kuweza
kufikia mafanikio hayo. Hakuna mafanikio ambayo yanapatikana nje ya njia husika
za mafanikio.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Na kwa kawaida, zipo njia mbili bora za kuufikia mafanikio. Hizi
ni njia halali ambazo zinatumiwa na watu wote wenye mafanikio ya kweli na
halali duniani.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Njia ya kwanza; Njia
ya kawaida.</span></b></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Hii ni njia ambayo mtu anafikia mafanikio makubwa kutokana na malengo
anayoyafatilia kila siku. Hapa lazima uwe na malengo ya kuyafatilia kila siku.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Katika njia hii unakuwa na malengo yako, lakini wakati huo huo
unakuwa unaenda nayo mdogo mdogo hadi kuweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Hii ni njia bora, inayoaminika, kwa sababu kuna kujifunza mengi
ndani yake, ingawa inataka muda na uvumilivu, lakini mwisho wa siku utafika.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Njia ya pili; Njia
isiyo ya kawaida.</span></b></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Hii ni njia isiyo ya kawaida kwa sababu ndani yake kuna kuwa na
hali hatarishi nyingi. Kwa mfano, kuna kuweka mtaji mkubwa ndani yake au
kuchukua hatua kubwa kabisa.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Katika kutekeleza njia hii iko hivi, unakuwa unafata njia ile ya
kawaida kama kawaida, isipokuwa katika njia hii kuna vitu ambavyo vinaongezeka.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Katika njia hii lazima utenge kiasi fulani cha pesa, ili
kuingiza katika 'dili' ambazo zinajitokeza kati kati lakini wakati huo
ukiendelea na njia ya kwanza.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kufata njia ya pili hatumaanishi njia ya kwanza umeiacha, hapana
unakuwa nayo, isipokuwa hii unaitumia kama ziada kutengenezea pesa ndefu.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Hizi ndio njia kubwa mbili, ambazo zinatumiwa na watu wengi
wenye mafanikio kuweza kufanikiwa. Ni muhimu kutumia njia zote mbili ili
kujihakikishia mafanikio.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">THE UNIVERSITY OF WINNER'S</b><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;"> kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Hakimiliki©2021 </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Imani Ngwangwalu</b><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><o:p> </o:p></span></p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-86813410092366959292021-10-05T10:01:00.001+03:002021-10-05T10:01:10.919+03:00 Zingatia Jambo Hili Sana, Litakusaidia Kufanikiwa.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-iOoSzVPHMqc/YVv4GHPqLaI/AAAAAAAAEZg/6WtRmUdqBZwx8z-WwQOh0kC2_nRsVXsMACLcBGAsYHQ/s1200/84164a53859025.5943916e2ca7d.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="767" data-original-width="1200" height="256" src="https://1.bp.blogspot.com/-iOoSzVPHMqc/YVv4GHPqLaI/AAAAAAAAEZg/6WtRmUdqBZwx8z-WwQOh0kC2_nRsVXsMACLcBGAsYHQ/w400-h256/84164a53859025.5943916e2ca7d.png" width="400" /></a></div>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Inapotokea kuna kitu hukijui, kuwa mtu wa shukrani, kwa sababu
umepata fursa nzuri ya kujifunza juu ya kitu hicho.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Inapotokea unapitia magumu katika maisha yako, shukuru pia,
kwani magumu hayo yanakufanya uwe bora na imara.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Ikiwa pia unapitia changamoto sana, huo sio wakati wa kukimbia,
bali ni wakati wako wa kujiboresha kimaisha.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Unapokuwa umechoka kwa sababu ya kazi, basi pia huo ni muda wa
kushukuru, kwa sababu kuna mabadiliko umefanya.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kama umefanya makosa, pia shukuru, kwa sababu hiyo inakukumbusha
ni kipi ambacho hutakiwi tena kukifanya.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Ni rahisi sana kuwa na shukrani na mambo mazuri, lakini pia
jifunze kuwa na shukrani hata kwenye changamoto.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Watu wengi si wepesi sana wa kushukuru pale wanapokutana na
magumu. Ni watu ambao wanakuwa hawaoni zuri lolote.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kipo kitu chanya au kizuri unaweza kukiona pia kwenye
changamoto. Usilalamike, jifunze kupitia changamoto yako.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Yapo mafanikio na baraka ambazo zimejificha kwenye
changamoto. Unatakiwa uyaone mafanikio hayo.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Changamoto unazopitia zina uwezo wa kukufanya, ujifunze, ukue na
kuwa jasiri wa kufikia mafanikio yako.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Zingatia, mafanikio yako utaendelea kuyapata kama utakuwa mtu wa
shukrani katika kila eneo la maisha yako.</span><span style="color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 14pt;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kuwa na shukrani ni msingi mkubwa sana wa mafanikio yako. Anza
leo kuwa mtu wa shukrani, utafanikiwa.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">THE UNIVERSITY OF WINNER'S</b><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;"> kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Hakimiliki©2021 </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Imani Ngwangwalu</b><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><span style="font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><o:p> </o:p></span></p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-56411614129263413172021-10-04T00:31:00.000+03:002021-10-04T00:31:46.069+03:00Mawazo Kumi (10) Yatakayokupa Nguvu Kubwa Yakufikia Mafanikio Yako.<span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt; text-align: justify;">Mafanikio
siku zote yanaanza na mawazo. Kama hakuna wazo sahihi ieleweke pia hakuna
mafanikio sahihi ambayo yataweza kuchipua kwa nje, sana sana </span><span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt; text-align: justify;"> </span><span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt; text-align: justify;">utakuwa ni mtu wa kushindwa kila wakati. Kupitia
makala haya utajifunza mawazo muhimu yatakusaidia kuweza kufikia mafanikio
yako. Karibu na twende tujifunze;-</span><br />
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">1. Usifanye
maamuzi kwa muhemko kwani utaahirisha tu, ni wachache wanaofanikiwa na maamuzi
ya muhemko. Kwa mfano, utakuta mtu kasikia habari kwamba biashara ya aina
fulani inalipa, mtu huyo utakuta anakurupuka na kujikuta kwenye wakati mgumu
sana wa kuweza kushindwa. Kabla hujafanya maamuzi, tafakari kwanza.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">2.
Usitake mafanikio kama unavyotaka wewe. Mafanikio yana njia yake na misingi
yake pia. Kama unataka mafanikio kwa jinsi unavyotaka wewe na unategemea
utayapata huo ni uongo hutaweza kuyapata. Futa njia, kanuni na miiko ya
mafanikio inasema nini utafanikiwa. Ulikilazimisha kufanikiwa kama unavyotaka
wewe, haitawezekana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">3. Usikae
tu na kusubiri mambo yatokee, utajichelewesha sana. Amua kupambana kufanya
mambo yaweze kutokea na hiyo itakusaidia sana kuweza kufanikiwa. Kuwa mtu wa
kulazimisha matokeo uyatakayo na uyapate. Kusubiri subiri tu mambo yajiendee,
utajikuta unasubiri sana na mambo hayawi kama utakavyo, komaa.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-Kbgum_NKr1M/W01kmBlxcrI/AAAAAAAADaI/CtTuq5h10_ASzY7_8_KYCsBud46uj6YDACLcBGAs/s1600/best-tips-for-success-in-business-hindi-pla-plan-pdf-new-language-ideas.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="961" data-original-width="1600" height="240" src="https://1.bp.blogspot.com/-Kbgum_NKr1M/W01kmBlxcrI/AAAAAAAADaI/CtTuq5h10_ASzY7_8_KYCsBud46uj6YDACLcBGAs/s400/best-tips-for-success-in-business-hindi-pla-plan-pdf-new-language-ideas.jpg" width="400" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt;">4.
Kama unaona maisha yako ni magumu sana, rudi kwenye mawazo yako, rudi na uende
ukaanze kufikiri upya tena, maana ugumu wa kila kitu unaanzia kwenye akili na
si kwingine tena. Inawezekana maisha yako ni magumu kwa sababu umeshindwa
kuifikirisha akili yako vya kutosha, fikiri hili na chukua hatua.</span><span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt;"> </span><span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt;"> </span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">5.
Kuwa tayari kwa wakati ufaao na wakati usiofaa kwenye maisha. Kuna wakati
maisha yanakutaka uwe tayari hata wakati wewe unajiona hauko tayari iwe hivyo.
Unatakiwqa uwe kama mwanajeshi kwa kuamua kufanya chochote kile na wakayi
wowote ule ilimradi tu kuyafanya maisha yako yasogee mbele<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>na kuleta mafanikio yatakiwayo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">6. Fanya
ufanyalo kwenye maisha yako, lakini hakikisha uwe una kitu cha watu kujifunza
kwako. Usiishie kujifunza kwa wengine ila hakikisha watu nao wajifunze kwako
kupitia wewe kama wewe. Fanya vitu ambavyo watu watakuiga na wakuone kwamba
wewe ni mfano wa kuigwa na wakufate nakufanya maisha yao kuwa bora.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">7. Ukiwa
unafanya kazi, hakikisha uwe una kitu cha kuuza yaani una bidhaa ambayo unaweza
ukawauzia watu na wakanunua kwako. Fanya ufanyalo lakini hakikisha uwe na pesa
ya ziada, pesa hiyo ya ziada au akiba itakusaidia. Anza kuuza kitu ambacho
kitakusaidia sana kuweza kukuza uchumi wako nje ya kazi uifanyao.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">8. Kila
mtu anaweza akawa na wasiwasi na wewe, lakini ukijitoa na kuamua basi kila kitu
kinawezekana kwako na utafanya maajabu makubwa kwako. Jiamini kwamba unaweza
ukafanya mambo makubwa maishani mwako hata kama hakuna mtu anayekuamini. Jiamini
wewe kama wewe na utatoboa na kufikia mafanikio makubwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">9. Weka
juhudi sana kwa kila unachokifanya pasipo kuyumbishwa na wakati unaweka juhudi
ili uweze kwenda mbele zaidi kubali kujifunza kwa kukosolewa. <span style="background: white;">Bila ya juhudi, kukubali kukosolewa au kuelekezwa kwa
usivyojua, hauwezi kwenda. Kukosolewa si dhambi, wewe kosolewa na kubali kujifunza
na utafanikiwa pa kubwa. <o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="background: white; font-size: 12pt; line-height: 115%;">10. Kila jambo lifanye kwa wakati wake. Kama kwako upo kwenye
muda wa kuwekeza, nikwambie tu wekeza sana na mtu asikutanie katika hilo. Usipoteze
muda mwingi sana kwa kuwaza kwamba muda upo pale pale au unakusubiri, utapotea.
Utumie muda wako kufanya yale yaliyo ya msingi na yale ambayo yatakusaidia
kufanikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Fanyia
kazi haya na chukua hatua kuhakikisha ndoto zako zinatimia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Tunakutakia kila la kheri na
endelea kutembelea <a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/">dirayamafanikio.blogspot.com</a> kila siku kujifunza maisha na
mafanikio.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; tab-stops: 31.5pt 103.5pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Pia
rafiki, kama unapenda kujifunza zaidi kuhusu mafanikio, karibu kwenye kundi la <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">WHATS APP LA MAFANIKIO</b>, kujiunga tuma
neno <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">THE UNIVERSITY OF WINNER’S</b>
kwenda <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">0687449428,</b> hapo utapata
utaratibu mzima wa kujiunga<b style="mso-bidi-font-weight: normal;">. <o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;"><br /></div>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-66027431385426667382021-10-03T06:00:00.000+03:002021-10-04T00:39:12.781+03:00Weka Umakini Wako Wote Kwenye Vitu Hivi Na Utafanikiwa.<span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt; text-align: justify;">Kila
wakati zingatia kile kinacholeta mabadiliko sana kwenye maisha na unatakiwa
kuachana na kile ambacho hakileti mabadiliko kwenye maisha yako. Kama
unaendelea kufanya vitu ambavyo havileti matokeo chanya kwako huko ni
kujipoteza.</span><br />
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kwa
maana hiyo, kama kuna kitu unataka kukifanya unatakiwa ujiulize je, kitu hiki
kina mchango kiasi gani katika kuweza kufanikisha ndoto zangu. Kama unaona kitu
hicho hakina machango wowote ni jukumu lako kuweza kuachana nacho mara moja.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kila
wakati weka nguvu zako, muda wako na umakini wako wote kwenye vile vitu ambavyo
vinaleta matokeo kwako ya mafanikio tu. Haina maana kupoteza nguvu zako nyingi
kwa kufanya kitu ambacho hakina msaada kwako, utakuwa unapotea sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kila
wakati ijaze akili yako<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>mawazo chanya
yatakayokusaidia wewe kuweza kufikia ndoto zako. Kila wakati weka juhudi sahihi
za kukusaidia kuweza kufanikiwa kwa kufanya vitu vinavyoendana na ndoto yako
unayoitaka kuifanikisha. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-tIvV03Khzvg/XAbUtISsjhI/AAAAAAAADq4/Lv4TdHGo5h4YxaIYAuxdop9i1sTAe8KfQCLcBGAs/s1600/success-climbing.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="353" data-original-width="580" height="242" src="https://2.bp.blogspot.com/-tIvV03Khzvg/XAbUtISsjhI/AAAAAAAADq4/Lv4TdHGo5h4YxaIYAuxdop9i1sTAe8KfQCLcBGAs/s400/success-climbing.jpg" width="400" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt;">Usijaribu
kupoteza nguvu zako kwa kufanya mambo ambayo hayakusaidii kuweza kutimiza ndoto
zako. Ishi kwa faida kwa kufanya mambo ambayo yanakusaidia kuweza kutimiza
ndoto zako, kinyume cha hapo hutaweza kufikia ndoto zako.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Tatizo
la watu wengi wanapoelekea kwenye kufikia ndoto zao, wanakuwa wanaweka umakini
wao kwenye vitu ambavyo hata haviwasaidii. Kwa kufanya vitu hivyo watu hao ndio
hujikuta wakipotea karibu kila wakati kwenye kufanikisha ndoto zao.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Ili
uweze kufikia ndoto zako, fanya ufanyalo, lakini hakikisha unaweka umakini wako
wote kwenye vitu vya msingi vinavyokusaidia kutimiza ndoto zako. Kwa kufanya
vitu hivyo ni kweli ndoto zako utaweza kuzifikia hata kama unakutana na changamoto
nyingi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Usiendelee
kusita, usiendelee kusubiri, kama unataka kufanikiwa weka nguvu zako zote kwenye
mambo yanayoweza kukupa mafanikio. Kama nilivyosema watu wengi hawaweki sana nguvu
zao kwenye mambo yaletayo mafanikio yao, zingatia hilo.<o:p></o:p></span><br />
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Fanyia kazi haya na chukua
hatua kuhakikisha ndoto zako zinatimia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Tunakutakia kila la kheri na
endelea kutembelea <a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/">dirayamafanikio.blogspot.com</a> kila siku kujifunza maisha na
mafanikio.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; tab-stops: 31.5pt 103.5pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Pia
rafiki, kama unapenda kujifunza zaidi kuhusu mafanikio, karibu kwenye kundi la <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">WHATS APP LA MAFANIKIO</b>, kujiunga tuma
neno <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">THE UNIVERSITY OF WINNER’S</b>
kwenda <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">0687449428,</b> hapo utapata
utaratibu mzima wa kujiunga<b style="mso-bidi-font-weight: normal;">. <o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;"><br /></div>
<br />Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-66473516914951060522021-10-02T13:02:00.000+03:002021-10-04T00:42:55.846+03:00Jinsi Ya Kupika Tambi Za Mayai.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: 12pt;">Najua kila wakati tumekuwa
tukikuletea makala mbalimbali ambazo kimsingi zimekuwa zikikusaidia kwa namna
moja ama nyingine katika kuulisha ubongo chakula ya akili. Au kwa maneno
mengine elimu ambayo umekuwa ukiipata hapa imekuwa ikikusaidia kuzaliwa upya kifikra
hatimaye kutimiza kusudio lako hapa duniani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Lakini katika makala ya leo nataka
tujikite katika masuala mazima ya mapishi. Najua utakuwa unashangaa vipi leo
afisa mipango kuleta somo hili. Wala usishangae kila kitu ambacho unakiona
katika dunia hii ni fursa. Inawezekana kabisa ukawa hauna lengo la kupika
aina hii cha chakula. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Ila kutokana na ulichojifunza hapa
kukusaidia kutoa elimu kwa watu wengine na wao wakalipa pesa au chakula hiki
unaweza ukakipika katika sehemu mbalimbali kama katika sherehe mbalimbali na
wageni waalikwa na wasio waalikwa wakafurahia aina hii cha chakula. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-x_LjeWqAHc4/WGt2U1W-R5I/AAAAAAAABuQ/-bz1ckny7Lc6knq_DYdqOoxYV2l5i6JLgCLcB/s1600/spaghetti-843.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="298" src="https://2.bp.blogspot.com/-x_LjeWqAHc4/WGt2U1W-R5I/AAAAAAAABuQ/-bz1ckny7Lc6knq_DYdqOoxYV2l5i6JLgCLcB/s400/spaghetti-843.jpg" width="400" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: 12pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: 12pt;">Au unaweza ukapika aina hii ya
chakula kwa ajili ya biashara kama vile kwenye mahoteli, migahawa na sehemu nyinginezo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Hebu tuangalie mahitaji kwa ajili ya
kupika aina hii cha chakula. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">1. Tambi 1/2 paket<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">2. Vitunguu maji 2 vikubwa<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Karoti 1<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">3. Vitunguu swaumu kijiko 1 cha
chakula<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">4. Carry powder kijiko 1 cha chai<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">pilipili hoho 1<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">5. Njegere zilizo chemshwa 1/2
kikombe<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">6. Mafuta ya kupikia kiasi<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">7. Chumvi kwa ladha upendayo<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">MAANDALIZI YA CHAKULA HIKI<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">a) Chemsha maji yachemke haswaa, tia
chumvi na mafuta kiasi, weka tambi katika maji yaliyo chemka ziache ziive
kiasi; kisha chuja maji na uziache kavu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">b) Chukua bakuli pasua mayai kisha
weka pembeni.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">c) Chukua kikaango kilicho safi weka jikoni
tia mafuta kiasi na utaendelelea kuweka vitunguu maji,vitunguu swaumu,hoho
,karoti na carry powder,kaanga kwa pamoja katika moto mdogo mdogo na havitakiwi
kuiva sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">d) Kisha tia tambi na njegere katika
mchanganyiko wako na uendelee kukaanga kwa dakika kadhaa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">e) Chukua mayai tia katika tambi
ongeza moto kiasi, ili tambi zako zichambuke ,moto hautakiwi kuwa mdogo sana
ikiwa moto ni mdogo tambi zako zitashikana na kutia mabonge , mayai ya kiiva
hapo chakula chako kitakuwa tayari kwa kuliwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Mpaka kufikia hapa chakula chako
kitakuwa tayari kwa ajili ya kuliwa, chakula hiki wakati wa kula unaweza ukawa
unashushia na juisi ambayo unayopendelea kunywa. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<i><span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">"Mwili hujengwi kwa mawe bali hujengwa kwa kula"<o:p></o:p></span></i></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "verdana" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"> </span><span style="color: #222222; font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: 12pt;"><b>Ndimi Afisa Mipango Benson
Chonya.</b> </span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<a href="mailto:bensonchonya23@gmail.com" style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: 12pt;" target="_blank"><span style="color: #1155cc;">bensonchonya23@gmail.com</span></a></div>
</div>
Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-52324540682926102982021-10-01T04:00:00.000+03:002021-10-04T00:36:04.455+03:00Hiki Ndicho Kitu Kinachokuzuia Kufanya Mabadiliko Kwenye Maisha Yako.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<span face=""arial" , sans-serif" style="background-color: white; font-size: 12pt; text-align: justify;">Ikiwa
kila wakati unajaribu kufanya mabadiliko ya kitu fulani na unashindwa kuleta
mabadiliko hayo, basi tambua maumivu ya kushindwa hayajawa makubwa sana ndani
yako hadi uweze kuleta mabadiliko hayo.</span><br />
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span class="apple-converted-space"><span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="background: white; color: black; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kwa
mfano, unataka kuwa na mtaji na unashindwa kila mara, basi elewa kabisa maumivu
ya kushindwa kupata mtaji hayajawa makubwa vya kutosha. Tuchukulie leo hii,
ukaambiwa usipokuwa na mtaji hadi mwaka huu unaisha, utapigwa risasi.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span class="apple-converted-space"><span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="background: white; color: black; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Jiulize
utakubali kufa kwa sababu ya kukosa mtaji huo unaoutaka? Bila shaka
haitawezekana, utafanya kila linalowezekana kufanikisha hilo. Hivyo, wakati
mwingine mabadiliko yanakuja kwenye maisha yako kwa sababu ya kule kuumia sana.<o:p></o:p></span></span><br />
<span face=""arial" , sans-serif" style="background-color: white; font-size: 12pt;"><br /></span>
<span face=""arial" , sans-serif" style="background-color: white; font-size: 12pt;">Wakati
ulipokuwa shule ulisoma sana na kuhakikisha unafaulu ili kukwepa maumivu ya
kufeli. Pia kuna wakati umeweka juhudi nyingi sana ili kukwepa maumivu ya aina
fulani na kutafuta mahala sahihi kwako.</span><span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt;"> </span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-qQfazwcdHhQ/XucTC7DyGYI/AAAAAAAAD7E/W1Nta4vpvucbzz6QdkSs-Kn0yaPiGfniwCLcBGAsYHQ/s1600/WgO54869.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="400" src="https://1.bp.blogspot.com/-qQfazwcdHhQ/XucTC7DyGYI/AAAAAAAAD7E/W1Nta4vpvucbzz6QdkSs-Kn0yaPiGfniwCLcBGAsYHQ/s400/WgO54869.jpg" width="400" /></a></div>
<br />
<span face=""arial" , sans-serif" style="background-color: white; font-size: 12pt;">Tunaambiwa
kitu chenye nguvu ya kubadili tabia yako na mafanikio ni maumivu. Waulize wote
ambao wamefanikiwa na ambao wanafikiri chanya kuhusu mafanikio, watakwambia
maumivu yamewasaidia sana kubadilika na kuweza kufika hapo walipo mpaka leo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span class="apple-converted-space"><span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="background: white; color: black; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kitu
kinachokuzuia wewe kufanya mabadiliko kwenye maisha yako ni maumivu, hujawa na
maumivu ya kutosha kuweza kubadilisha maisha yako. Ikiwa utakuwa na maumivu
hayo, hutakubali, utafanya kila njia kubadilisha maisha yako.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span class="apple-converted-space"><span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="background: white; color: black; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Tunajua
sote maumivu yanauma, kama maumivu yanauma, huwezi kukubali ukabaki na maumivu
hayo kwako, lazima utatafuta njia ya kubadilisha maumivu hayo. Hivyo, kila
wakati pambana kuweza kuleta mabadiliko juu ya maisha yako.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span class="apple-converted-space"><span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="background: white; color: black; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Mwisho
kabisa niseme kwako hivi, utabadili maisha yako, ikiwa utakuwa una uchungu na
maumivu ya kutosha, maumivu ya kuchoshwa na hali mbaya uliyonayo na kutaka
kubadili maisha yako kabisa, hapo mabadiliko utayaona.<o:p></o:p></span></span></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif">Pia
rafiki, kama unapenda kujifunza zaidi kuhusu mafanikio, karibu kwenye kundi la <b style="font-family: arial, sans-serif;">WHATS APP LA
MAFANIKIO</b>, kujiunga tuma neno <b style="font-family: arial, sans-serif;">THE UNIVERSITY OF
WINNER’S</b> kwenda <b style="font-family: arial, sans-serif;">0687449428,</b> hapo
utapata utaratibu mzima wa kujiunga<b style="font-family: arial, sans-serif;">.</b></span><o:p></o:p></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<b><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Kumbuka, ufalme hauji kwa maneno bali unakuja kwa
vitendo,...chukua hatua. <o:p></o:p></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Nikutakie kila la kheri,</span><o:p></o:p></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<b><span face=""arial" , sans-serif">DAIMA
TUPO PAMOJA MPAKA NDOTO ZAKO ZITUMIE.</span></b></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br /></div>
Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-76405036787522581822021-09-30T04:00:00.000+03:002021-10-04T00:34:26.466+03:00Njia Pekee Itakayokufanya Ukawa Hodari Ni Hii…<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<span face=""arial" , sans-serif" style="color: #171717; font-size: 12pt; text-align: justify;">Kuna watu ambao
huwa wanatamani sana, wawe hodari katika jambo fulani. Watu hao hufika mahali
hata kuwatamani watu ambao ni mahodari katika maisha yao na kujiuliza
wamefikaje huko kwenye uhodari huo.</span><br />
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Nikwambie, ipo njia
moja kubwa ya kukufanya ukawa hodari kwa kile unachokifanya, njia hiyo si
nyingine <b><i>bali ni kufanya kitu hicho kila siku bila kuacha</i></b>. Kama utafanya
jambo hilo kila siku na kwa njia tofauti za kujifunza basi utakuwa hodari.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Unapofanya jambo
hilo kila siku, unatengeneza uhodari mkubwa sana ndani yako na mwisho wa siku
unajikuta ni mshindi katika hilo eneo. Ukiwa unafanya jambo na kuliacha, huo
uhodari utaupoteza tu.<o:p></o:p></span><br />
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://1.bp.blogspot.com/-zLwG-21OMic/XucT29BGouI/AAAAAAAAD7M/wx9sOkcdTiQHXV17V4utDiYYw4HfXokNgCLcBGAsYHQ/s1600/57e3189e59d507dac7a7d8ac8a222d0a.png" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="399" data-original-width="598" height="266" src="https://1.bp.blogspot.com/-zLwG-21OMic/XucT29BGouI/AAAAAAAAD7M/wx9sOkcdTiQHXV17V4utDiYYw4HfXokNgCLcBGAsYHQ/s400/57e3189e59d507dac7a7d8ac8a222d0a.png" width="400" /></a></div>
<span face="arial, sans-serif" style="color: #171717; font-size: 12pt;"><br /></span>
<span face="arial, sans-serif" style="color: #171717; font-size: 12pt;">Jiulize unataka
kuwa hodari katika jambo lipi? Ukishapata jambo hili ambalo unataka kuwa
hodari, anza utekelezaji wa kulifanya jambo hilo kila siku na kwa juhudi zote. Usijaribu
kufanya na halafu ukaacha, hautaweza kuujenga uhodari kwa namna hiyo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Watu wenye
mafanikio, watu ambao unawaona wamefanikiwa, wamekazana kujenga uhodari kwa
kuchagua kufanya kitu kimoja kwa muda mrefu na si kugusa gusa na kuacha halafu
ukategemea ukawa hodari.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Angalia maisha ya wanamichezo
walio hodari ni kipi wanachokifanya, angalia maisha ya wajasiriamali wakubwa ni
kipi wanafanya, utagundua ni watu ambao wameamua kuweka nguvu zao kwenye jambo
moja kwa muda mrefu na kutengeneza uhodari.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Acha kuwa na ndoto
za kukurupuka na kusema kwamba unataka kuwa hodari, unataka kufanikiwa sana na
halafu kitu hicho unachotaka kukifanya hukifanyi kila siku. Kama haufanyi kila
siku sahau mafanikio hayo unayoyataka.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kama wewe ni
mwimbaji, hebu imba kila siku. Kama wewe ni mwandishi, hebu andika kila siku,
kama wewe mchoraji, chora kila siku na fanya hivyo kwa miaka kumi, na huku
ukijifunza tuone kama hujawa hodari.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Ukiona vya elewa
ujue vimeumbwa, hivyo ndivyo wahengfa walivyosema na hawakukosea hata kidogo. Na
vivyo hivyo ukitaka uhodari, acha kujidanganya, kaza buti na fanya kila siku
jambo lako litakupa mafanikio tu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Hakuna uchawi wala
muujiza kwenye kutafuta uhodari. Ule uhodari unaoutafuta kila wakati upo kwenye
kufanya kila siku na tena ikiwezekana unaamua kufanya maisha yako yote pasipo
hata kukwama mara moja, ukifanya hivyo nakwambia utafanikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" lang="EN-US" style="color: #171717; font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kumbuka, uhodari
unakuja kwa wewe kuamua kufanya jambo unalolitaka kila siku. Amua leo kuutafuta
uhodari wako mpaka watu washangae, kumbe siri kubwa ya uhodari huo inakuwa
imejificha kwa wewe kuamua kufanya kila siku.<o:p></o:p></span></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif">Pia
rafiki, kama unapenda kujifunza zaidi kuhusu mafanikio, karibu kwenye kundi la <b style="font-family: arial, sans-serif;">WHATS APP LA
MAFANIKIO</b>, kujiunga tuma neno <b style="font-family: arial, sans-serif;">THE UNIVERSITY OF WINNERS</b><b style="font-family: arial, sans-serif;">,</b> kwenda 0687449428, hapo utapata utaratibu mzima wa kujiunga<b style="font-family: arial, sans-serif;">.</b></span><o:p></o:p></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<b><span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Kumbuka, ufalme hauji kwa maneno bali unakuja kwa
vitendo,...chukua hatua. <o:p></o:p></span></b></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" style="color: black;">Nikutakie kila la kheri,</span><o:p></o:p></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;">
<b><span face=""arial" , sans-serif">DAIMA
TUPO PAMOJA MPAKA NDOTO ZAKO ZITUMIE,</span></b><o:p></o:p></div>
<div style="margin-bottom: 0cm; margin-left: 0cm; margin-right: 0cm; margin-top: 12.0pt; margin: 12pt 0cm 0cm; text-align: justify;"><br /></div>
<br /></div>
Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-84775730693133161392021-09-29T22:59:00.000+03:002021-09-29T22:59:52.616+03:00Sababu Nne (4) Kwa Nini Maisha Yanazidi Kuwa Magumu Kwa Wengine.<span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt; text-align: justify;">Kwa
miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na wimbi kubwa la watu linalalamika kwamba
maisha yamekewa magumu. Kwa sababu hii pia watu wengi wamekuwa wakikata tamaa
na kuona maisha hayafai ni bora waishi hivyo hivyo ilimradi siku ziende.</span><br />
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Malalamiko
ya maisha kuzidi kuwa magumu yamekuwa yakisikika sana karibu ulimwenguni kote.
Na kwa hili <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>hiyo imekuwa ikipunguza raha
ya kuona ‘utamu’ wa maisha halisi. Si vijana wala wazee kila mtu amekuwa
akisema lake juu ya ugumu wa maisha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Lakini
pamoja na malalamiko hayo, kitu ambacho tunatakiwa tujiulize nini kinachopelekea
kuwe na ugumu wa maisha kila kukicha? Makala haya ya leo inakwenda kukupa majibu
kwa nini<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>maisha yanakuwa magumu kwa
wengi zaidi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-LrATkB9ERHY/W_P7nlj0tHI/AAAAAAAADoc/yvkEFhOgOo4z3fOfRFMJWKSmDk6YPHGQgCLcBGAs/s1600/drought.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="513" data-original-width="770" height="266" src="https://3.bp.blogspot.com/-LrATkB9ERHY/W_P7nlj0tHI/AAAAAAAADoc/yvkEFhOgOo4z3fOfRFMJWKSmDk6YPHGQgCLcBGAs/s400/drought.jpg" width="400" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b><span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 14pt; line-height: 115%;">1. Kutegemea chanzo kimoja cha mapato.</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kutokana
na maisha kubadilika na gharama za maisha kupanda karibu kila siku, suala la kutegemea
kipato kimoja, ni moja ya chanzo cha maisha kuwa magumu. Watu wengi wanategemea
kipato kimoja, zaidi kwa wengi ikiwa ni ajira.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kwa bahati
mbaya kipato kimoja hakiwezi kukidhi mahitaji yote hata iweje. Sasa kwa sababu hiyo
ya maisha kupanda mara kwa mara, ni lazima tu ugumu wa maisha uonekane. Hata
siku moja usitegemee maisha yako yakawa rahisi kama bado una kipato kimoja.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">SOMA;
<a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/2016/12/watoto-wenye-uzito-mdogo-hawaji-kuoa.html" target="_blank">Watoto Wenye Uzito Mdogo Hawaji Kuoa.</a><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 14pt; line-height: 115%;">2. Watu wengi wanafanya vitu
wasivyovipenda.<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Maisha
ni magumu pia kwa watu wengi chini ya jua kwa sababu wamekuwa ni watu ambao
kila siku wanafanya kazi ambazo wasizozipenda. Kama unafanya kazi usiyoipenda,
unategemea nini, lazima maisha yatakuwa magumu tu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kufanya
kazi usiyoipenda, kwa kawaida kunakuwa kunakuchosha sana na unakuwa unaifanya
tu, kwa sababu eti upate pesa ya kula. Kama umechagua maisha hayo, ujue kabisa
maisha hayo yatazidi kukufanya wewe uyaone magumu kila kukicha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 14pt; line-height: 115%;">3. Watu wengi wanaishi juu ya matumizi.<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Ugumu
wa maisha pia kwa namna moja au nyingine unachangizwa na watu kuishi juu ya
matumizi au vipato vyao halali. Unatakiwa kuelewa watu wengi, wanaishi juu ya
matumizi kwa sababu ni watu ambao wanataka waonekane wamefanikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , sans-serif" style="font-size: 12pt;">Watu
hawa wanakuwa wapo tayari wakope au wafanye lolote lile ili waonekane mambo yao
yako safi. Kwa msingi huo wanakuwa wanajitengenezea maisha magumu ambayo
wanashindwa kuyamudu kwa urahisi na matokeo yake kuongeza ugumu usio na sababu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">SOMA;
<a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/2016/11/je-upo-tayari-kutoa-kitu-gani-ili-uweze.html" target="_blank">Je, Upo Tayari Kutoa Kitu Gani Ili Uweze Kutimiza Ndoto Zako?</a><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 14pt; line-height: 115%;">4. Hakuna anayejali sana maisha ya
wengine.<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Maisha
ya sasa hivi naweza kusema yamekuwa ni kama ya kuishi kisiwani, watu wamekuwa
hawajali sana watu wengine kwa kiasi kikubwa, ukilinganisha na zamani. Kwa sasa
ukipata changamoto kubwa wewe jua hiyo ni changamoto yako tu, inabidi ukomae
nayo hadi utoke.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Kutokana
na hili kuendelea kudumu kunafanya maisha yanazidi kuendelea kuwa magumu sana
hadi watu wanakosa msaada ambao ungeweza kuwasaidia. Ubinafsi ambao wengi wanao
imekuwa ni kichocheo kikubwa sana cha ugumu wa maisha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Mwisho,
pengine ujiulize, je, maisha yanaendelea kuwa magumu kwako kila kukicha? Jibu
unalo wewe, nimekupa walau sababu chache zinazoonyesha kwa nini maisha yanazidi
kuwa magumu. Wewe unaamini nini, niwekee maoni hapo chini.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Fanyia
kazi haya na chukua hatua kuhakikisha ndoto zako zinatimia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Tunakutakia
kila la kheri na endelea kutembelea <a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/">dirayamafanikio.blogspot.com</a> kila siku
kujifunza maisha na mafanikio.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; tab-stops: 31.5pt 103.5pt; text-align: justify;">
<span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">Pia
rafiki, kama unapenda kujifunza zaidi kuhusu mafanikio, karibu kwenye kundi la <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">WHATS APP LA MAFANIKIO</b>, kujiunga tuma
neno <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">THE UNIVERSITY OF WINNER’S</b>
kwenda <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">0687449428,</b> hapo utapata
utaratibu mzima wa kujiunga<b style="mso-bidi-font-weight: normal;">. <o:p></o:p></b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span face=""arial" , "sans-serif"" style="font-size: 12pt; line-height: 115%;">DAIMA TUPO PAMOJA MPAKA MAISHA YAKO
YAIMARIKE.</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-top: 12pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<br />Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-18282035163097626672021-09-28T12:41:00.000+03:002021-09-28T12:41:59.078+03:00Mambo Ya kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Katika Masuala Ya Kifedha.<span style="background-color: white; color: #222222; font-family: arial, sans-serif; font-size: 12pt; text-align: justify;">Somo la fedha ni la muhimu sana kwa kila mmoja wetu, hii ni kwa
sababu tunashindwa kupata au kudumu katika mafanikio yetu kifedha hii ni
kwasababu wengi wetu hutuna uelewa wa kutosha katika suala la kipesa.</span><br />
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Wengi hatuelewi namna ya kupata pesa na namna ya kuzifanya pesa
hizo ziendelee kuwa upande wetu, Ila ukweli unabaki palepale siku zote kwamba,
ukitaka kufanikiwa kifedha na kufika mbali, unalazimika kujua mambo haya
yafutayo;-<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-sPRhIw_BAgo/W_ItDuPLJLI/AAAAAAAADnc/W4rTh8Rw3MIsEP-lJEgQ2jVPdTevV9B-ACLcBGAs/s1600/rich.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="643" data-original-width="720" height="285" src="https://2.bp.blogspot.com/-sPRhIw_BAgo/W_ItDuPLJLI/AAAAAAAADnc/W4rTh8Rw3MIsEP-lJEgQ2jVPdTevV9B-ACLcBGAs/s320/rich.jpg" width="320" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><o:p> </o:p></span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">1. Jinsi ya kutawala
pesa zako.</span></b><br />
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Katika maisha yako yote unatakiwa kuwa mtalawa wa fedha zako na
sio fedha zikutawale wewe. Wapo wengi wetu wanashindwa kufanikiwa
kimaisha hii ni kwa sababu fedha zimewatawala wao, yaani unaweza ukaona
mtu kapata fedha lakini atataka kila kitu nachoikiona akinunue, huku ndiko
kunakoitwa kutwaliwa na fedha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Nini kifanyeke? <o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Jambo muhimu la kuzingatie ni kila mmoja wetu ahakikishe
hatawaliwi na pesa ila yeye ndio anayezitawala pesa hizo. Wewe ndiye unayekuwa
na maamuzi sahihi juu ya kuzitumia pesa hizo na si vinginevyo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">2. Jinsi ya kutoka kwenye
madeni.<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Wakati mwingine madeni ni njia nambari moja imfanyayo mtu awe
maskini kama hatakuwa makini mtu huyo, japo wapo baadhi ya watu, wao huamini ya
kwamba mfanyabiashara wa kweli haogopi madeni, huko ni kujidanya. Kama una
mkopo au madeni ni bora ukawa nayo yale ya biashara zaidi lakini si kwa ajili
ya matumizi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Nini kifanyike?<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Hivyo ndugu yangu unatakiwa kuelewa ya kwamba madeni ni mabaya
sana hasa ukiwa na hulka ya kujiendekeza katika michezo hii, hivyo kila wakati
ili uweze kuwa na uhuru wako binafsi hususani katika uhuru wa kipesa unatakiwa
kuondokana na madeni hayo mara moja, kwani madeni ni mabaya sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">3. Jinsi ya kuongeza
kipato.<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Mara zote ukitegemea mfereji mmoja kama chanzo chako cha kipato
basi fahamu fika maisha yako yatakuwa ni yale yale kila wakati. Ni lazima uwe
na njia nyingi za wewe kuweza kukuingizia kipato ili njia hizo zikusaidie kuweza
kupiga hatua. Kama una njia moja tu ya kipato, sahau kuwa huru kifedha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Nini kifanyike?<o:p></o:p></span></b><br />
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Jambo la muhimu unalotakiwa kulikumbuka hapa ni kwamba kila wakati
ni lazima uwaze kuongeza njia mbadala ya kuongeza kipato chako, na miongoni mwa
njia zitakazokusaidia kuwa hivyo ni kuongeza wigo wako wa kutafuta pesa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">4. Jinsi ya kuweka
akiba na jinsi ya kuwekeza kwa ajili ya baadae.<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Wakati mwingine hatufahamu lile litakalojitokeza siku ya kesho
hii ni kwa sababu kesho si rafiki kwetu ila tunaamini siku hiyo ipo, kama tunaamini
hivyo basi tunatakiwa kujifunza kuweka akiba kwa ajili ya uwekezaji wa kesho.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Uwekaji wa akiba ni mzuri hii ni kwa sababu miongoni mwa faida
itokanayo na kuweka akiba ni kwamba inasadia kutatua changamoto husika kwa muda
muafaka hasa unapokuwa haupo vizuri katika suala la kifedha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Unachotakiwa kufanya? <o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Ni kuhakikisha kwa kila kipato unachopata unatenga asilimia
kadhaa kwa ajili ya akiba hii ni kwa sababu hatujui likalotokea siku ya
kwesho na pia ni faida kuweka akiba kwa sababu itakusaidia kuwekeza.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Hayo ndiyo mambo ya msingi unayaopaswa kufahamu kuhusu fedha.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 12.0pt;">Ndimi Benson Chonya.<o:p></o:p></span></b></div>
<br />Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-92219364153449234092021-09-27T00:00:00.004+03:002021-09-27T00:00:00.264+03:00Silaha Kubwa Ya kufikia Mafanikio Yako Ni Hii.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-SbYrYvEN3lo/YU_6nQlm7mI/AAAAAAAAEY8/bwF6_fVQnG8y0-DcotiPLjvySLfLi76tQCLcBGAsYHQ/s274/images.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="184" data-original-width="274" height="269" src="https://1.bp.blogspot.com/-SbYrYvEN3lo/YU_6nQlm7mI/AAAAAAAAEY8/bwF6_fVQnG8y0-DcotiPLjvySLfLi76tQCLcBGAsYHQ/w400-h269/images.jpg" width="400" /></a></div>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kati ya kitu muhimu sana cha kukusaidia kufanikiwa, ni akili ya
utulivu. Kati ya silaha kubwa ya kukusaidia kufanikiwa, ni akili ya utulivu.
Unapokuwa na akili ya utulivu inakusaidia kuona mambo mengi, na kufanikisha
mambo mengi pia.</span><span style="color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 14pt;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Si rahisi sana kuweza kufanikiwa sana kama akili yako
haijatulia. Unatakiwa ujue, silaha yako kubwa ya mafanikio ni matumizi ya akili
yako na wala si bahati au muujiza kama uwazavyo.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Akili yako ina uwezo wa kukupa matokeo makubwa sana kama
imetulia, hapa inaweza ikakupa majibu mazuri na ikaleta matokeo ya kushangaza
ambayo huwezi kuyaamini.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Hivyo, unatakiwa kila wakati kuchagua mazingira tulivu
yatakayoifanya akili yako ifanye kazi kwa utulivu. Unatakiwa kuishi na watu
sahihi, wasio na makelele kwako.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Lakini si hivyo tu, unatakiwa kuishi na mke au mume sahihi kwako
asiye na makelele. Unatakiwa kuishi na mwenzi wako ambae anaifanya akili yako
itulie na isiwe ya vurugu.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Amani ya akili, utulivu wa akili, ndio chanzo cha mafanikio
makubwa yote na yakutisha. Hakuna ambae aliyefanikiwa huku akili yake ikiwa
haijatulia, mtu huyo hayupo.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Waangalie vizuri watu waliofanikiwa, utajifunza kitu kimoja kwao
ni watu ambao akili zao zimetulia. Unasema nimejuaje, angalia jinsi
wanavyoongea, wanaongea kwa utulivu mkubwa sana, hiyo ni ishara akili zao
zimetulia.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Ili kufukia mafanikio yako makubwa, haina haja na maana kuishi
na watu au katika eneo ambalo linakunyima utulivu wa akili. Jiulize, ya nini
kuishi na mpenzi ambaye anaifanya akili yako isitulie na kuanza kumwaza yeye.
Tafuta utulivu wa akili utaona matokeo yake makubwa jinsi utakavyo yapata.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Unapokuwa na utulivu wa akili inakusaidia sana wewe kupangilia
mambo na mikakati yako kwa ukamilifu, tofauti na ambavyo ukikosa utulivu akili
yako haiwezi kuwaza kitu cha maana na kukupa matokeo makubwa.</span><span style="color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 14pt;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Zingatia sana, utulivu wa akili, ni silaha ya kwanza katika
kufikia mafanikio yako. Kila siku, jitahidi, utafute eneo lilotulia na tafakari
maisha yako, na utaona matokeo mazuri yakija kwa upande wako.</span><span style="color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 14pt;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Unatakiwa ujue, silaha kubwa katika kufikia mafanikio yako ni
utulivu wa akili. Ukituliza akili zako, utafanya mambo makubwa sana na ya
kushangaza wengi na pia wengi hawataamini je, kweli ni wewe. Kumbe siri, ipo
kwenye kutuliza akili, basi.<o:p></o:p></span></p>
<p class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #666666; font-family: Roboto, Helvetica, Tahoma, Arial; font-size: 14px; line-height: normal; margin: 0px 0px 0in; outline: 0px; padding: 0px 0px 20px; text-align: justify; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;"><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;"><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno <b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">THE UNIVERSITY OF WINNER'S</b> kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</span></span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #666666; font-family: Roboto, Helvetica, Tahoma, Arial; font-size: 14px; line-height: normal; margin: 0px 0px 0in; outline: 0px; padding: 0px 0px 20px; text-align: justify; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;"><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;"><span style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Hakimiliki©2021 <b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Imani Ngwangwalu</b>. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.</span></span></p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-40119259237371822872021-09-26T07:41:00.002+03:002021-09-26T07:41:44.375+03:00 Chagua Mwendo Upi Unakusaidia Kufanikiwa.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-EjYlADM7jE0/YU_57bZ2SGI/AAAAAAAAEY0/8mNpFkqUcH8c6KqLZlDSBCQZ2NGWAwThACLcBGAsYHQ/s1000/How-to-Define-Success-Around-Making-A-Difference-1000x600.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="600" data-original-width="1000" height="240" src="https://1.bp.blogspot.com/-EjYlADM7jE0/YU_57bZ2SGI/AAAAAAAAEY0/8mNpFkqUcH8c6KqLZlDSBCQZ2NGWAwThACLcBGAsYHQ/w400-h240/How-to-Define-Success-Around-Making-A-Difference-1000x600.jpg" width="400" /></a></div>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kuna wakati unaweza ukakamilisha mambo mengi sana, kama utaamua
kwenda kwa taratibu. Unatakiwa usikimbize mambo yako, ila unatakiwa kwenda
taratibu na kufanya kwa uhakika na ufanisi mkubwa wenye faida.</span><span style="color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 14pt;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kwa mfano, kama kuna majukumu ambayo unayafanya kila siku, basi,
majukumu hayo yafanye kwa utaratibu, kwa utulivu mkubwa na utajikuta
unakamilisha mambo mengi ambayo hukutegemea.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kuna watu wanafikiri ili kukamilisha mambo mengi unatakiwa
kwenda kwa haraka zaidi, kitu ambacho si kweli. Unaweza kwenda taratibu na
ukakamilisha mambo mengi, unaweza kwenda haraka halafu ukaharibu.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Ni wajibu wako unatakiwa ujue ni wakati upi unatakiwa uende
taratibu na wakati upi unatakiwa uende haraka. Si kila wakati wa kwenda kwa
haraka ikiwa utafanya hivyo huwezi kukamilisha mambo mengi zaidi unajiharibia
wewe.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kama nilivyosema, kwenda haraka hakuwezi kukusaidia kukamilisha
mambo mengi kwa sababu, akili yako inakuwa haijatulia yaani inayumba yumba.
Kama akili yako inayumba hivyo, kufanikisha mambo mengi ni ndoto.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Unatakiwa kila wakati kujiuliza, hapo ulipo ni wakati wa kwenda
haraka au wakati wa kwenda kwa kasi. Kisha ukishapata majibu, fanya uamuzi
sahihi. Maisha sio mashindano na wengine, angalia mwendo wako.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Hapa ndio upo ule umuhimu wa kuchagua mwendo upi unakusaidia
kukamilisha mambo mengi. Je, mwendo wa kasi au mwendo wa taratibu, lakini kaa
ukijua kila mwendo una sehemu yake.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Suala hili, lipo kama vile unavyoendesha gari. Si kila wakati
unatakiwa kukimbiza gari, yapo mazingira yake. Na kwenye maisha iko hivyo
hivyo, kuna wakati wa kwenda kwa haraka na wakati wa kwenda taratibu.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="color: #222222; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kufanikiwa kwako kunategemea sana uchaguzi wako wa mwendo upi
uutumie na katika eneo lipi. Fanyia kazi hili, na utaona matokeo makubwa kwa
upande wako.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">THE UNIVERSITY OF WINNER'S</b><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;"> kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">Hakimiliki©2021 </span><b style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial !important; vertical-align: baseline;">Imani Ngwangwalu</b><span style="background-color: initial; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 18.6667px;">. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.</span></p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-16091875166952661862021-09-25T09:21:00.003+03:002021-09-25T09:30:57.246+03:00 Mambo muhimu ya kuzingatia unapotaka kufanya uwekezaji.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://1.bp.blogspot.com/-lJIZTvBEsp0/YU6_1WtJ0lI/AAAAAAAAEYY/7ijudVTkuS8_W2-8d3jahYEyZFtNRtYAACLcBGAsYHQ/s509/istockphoto-1299174533-170667a.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="339" data-original-width="509" height="266" src="https://1.bp.blogspot.com/-lJIZTvBEsp0/YU6_1WtJ0lI/AAAAAAAAEYY/7ijudVTkuS8_W2-8d3jahYEyZFtNRtYAACLcBGAsYHQ/w400-h266/istockphoto-1299174533-170667a.jpg" width="400" /></a></div>
<p style="text-align: justify;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Ipo hivi unapofanya uwekezaji katika jambo lolote unatakiwa
kuelewa kwamba hakuna faida utakayoipata papo hapo. Bali uwekezaji huchukua
muda fulani mpaka uje uone uwekezaji wa jambo hilo.<o:p></o:p></span></p>
<p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; orphans: 2; text-align: justify; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; widows: 2; word-spacing: 0px;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Wengi
wanapoambia wawekeze katika jambo fulani hukurupuka katika kuwekeza mwisho wa
siku hujikuta wanapata hasara au kutokuona faida ya uwekezaji waliofanya.<o:p></o:p></span></p>
<p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; orphans: 2; text-align: justify; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; widows: 2; word-spacing: 0px;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Kitu
pekee ninachopaswa kukumbusha ni kwamba unapotaka kuwekeza katika jambo fulani,
unatakiwa kuzingatia mambo haya machache;<o:p></o:p></span></p>
<p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; margin-left: 0.5in; mso-list: l0 level1 lfo1; orphans: 2; text-align: justify; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; text-indent: -0.25in; widows: 2; word-spacing: 0px;"><!--[if !supportLists]--><span style="color: black; font-family: Symbol; font-size: 14pt; mso-bidi-font-family: Symbol; mso-fareast-font-family: Symbol;"><span style="mso-list: Ignore;">·<span style="font: 7pt "Times New Roman";">
</span></span></span><!--[endif]--><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Uwekezaji unakutaka uweze kulielewa jambo unalotaka kuliwekeza kwa
undani zaidi.<o:p></o:p></span></p>
<p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; margin-left: 0.5in; mso-list: l0 level1 lfo1; orphans: 2; text-align: justify; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; text-indent: -0.25in; widows: 2; word-spacing: 0px;"><!--[if !supportLists]--><span style="color: black; font-family: Symbol; font-size: 14pt; mso-bidi-font-family: Symbol; mso-fareast-font-family: Symbol;"><span style="mso-list: Ignore;">·<span style="font: 7pt "Times New Roman";">
</span></span></span><!--[endif]--><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Faida ya uwekezaji huchelewa sana kuonekana.<o:p></o:p></span></p>
<p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; margin-left: 0.5in; mso-list: l0 level1 lfo1; orphans: 2; text-align: justify; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; text-indent: -0.25in; widows: 2; word-spacing: 0px;"><!--[if !supportLists]--><span style="color: black; font-family: Symbol; font-size: 14pt; mso-bidi-font-family: Symbol; mso-fareast-font-family: Symbol;"><span style="mso-list: Ignore;">·<span style="font: 7pt "Times New Roman";">
</span></span></span><!--[endif]--><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Uwekezaji huitaji uvumilivu mkubwa ndani yake.<o:p></o:p></span></p>
<p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; margin-left: 0.5in; mso-list: l0 level1 lfo1; orphans: 2; text-align: justify; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; text-indent: -0.25in; widows: 2; word-spacing: 0px;"><!--[if !supportLists]--><span style="color: black; font-family: Symbol; font-size: 14pt; mso-bidi-font-family: Symbol; mso-fareast-font-family: Symbol;"><span style="mso-list: Ignore;">·<span style="font: 7pt "Times New Roman";">
</span></span></span><!--[endif]--><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Uwekezaji unahitaji umakini wa hali ya juu ili kuepukana kupata
hasara ya jambo husika.<o:p></o:p></span></p>
<p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; orphans: 2; text-align: justify; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; widows: 2; word-spacing: 0px;"><span face=""Arial","sans-serif"" style="color: black; font-size: 14pt;">Hivyo ni
vyema ukayazingatia hayo machache kati ya mengi kabla hujaamua kuwekeza katika
jambo lolote lile ulitakalo.<o:p></o:p></span></p><p class="MsoNormal" style="background: 0px 0px rgb(255, 255, 255); border: 0px; box-sizing: border-box; color: #666666; font-family: Roboto, Helvetica, Tahoma, Arial; font-size: 14px; line-height: 2em; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px 0px 20px; text-align: justify; user-select: initial; vertical-align: baseline;"><span face="Arial, sans-serif" style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial; vertical-align: baseline;">Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: 0px 0px rgb(255, 255, 255); border: 0px; box-sizing: border-box; color: #666666; font-family: Roboto, Helvetica, Tahoma, Arial; font-size: 14px; line-height: 2em; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px 0px 20px; text-align: justify; user-select: initial; vertical-align: baseline;"><span face="Arial, sans-serif" style="background: 0px 0px; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #222222; font-size: 18.6667px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; user-select: initial; vertical-align: baseline;">Ndimi: Afisa Mipango Benson Chonya.</span></p><p class="MsoNormal" style="background: 0px 0px rgb(255, 255, 255); border: 0px; box-sizing: border-box; color: #666666; font-family: Roboto, Helvetica, Tahoma, Arial; font-size: 14px; line-height: 2em; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px 0px 20px; text-align: justify; user-select: initial; vertical-align: baseline;"><span style="background-color: initial; color: #222222; font-size: 18.6667px;">0757-909942</span></p>
<p class="MsoNormal"><span face=""Arial","sans-serif"" style="font-size: 14pt; line-height: 115%;"><o:p> </o:p></span></p>Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3031995291424045052.post-47670692819238957832021-09-24T07:17:00.000+03:002021-09-24T07:17:14.390+03:00Jinsi Ya Kupata Wazo Bora La Biashara.<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , sans-serif" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Kisaikolojia kila mtu ana mawazo bila
kujali ni mazuri au mabaya. Wakati mwingine binadamu huwa na mawazo mazuri
ambayo kama atayaendeleza na kuyafanyia kazi yanaweza kubadili kabisa maisha
yake.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , sans-serif" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Mawazo humfanya mtu awe alivyo, aonekane
vile anavyoonekana. Mwenye akili, mpole, mkorofi,mwema au mkatili. Haya yote ni
matokeo ya mawazo aliyonayo mtu kichwani mwake.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Kila siku tunasikia watu wanasema
nina pesa ila sijajua nifanye biashara au mradi gani. Wakati mwingine utasikia mtu
akisema nina wazo zuri la kufungua biashara au mradi tatizo langu mtaji sina. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Katika kuwaza kwao watu hawa mwisho
hujikuta muda umeenda, umri umesonga bila hata kutekeleza wazo moja alilopanga.
Mwenye pesa amekaa na pesa hadi imekwisha
kwa kutatua matatizo ya aina mbalimbali.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Soma;<a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/2016/05/njia-tano-5-bora-za-kukuza-biashara-yako.html" target="_blank"> Njia Tano (5) Bora Za Kukuza Biashara Yako.</a></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Mwenye wazo kawaza mpaka kawazua
mtaji hana na wazo limechina mwisho anakata tamaa na kuamua kufanya kazi
asiyotaraji kuifanya ili kujikimu na mahitaji ya kila Siku katika maisha. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Ni Kitu gani kifanyike ili watu hawa
waweze kufanikiwa? Mwenye wazo na mwenye pesa? usiumize kichwa Kisuda nitakupa
siri yake leo. Kabla sijaeleza namna gani ufanye nikudokezee siri moja muhimu katika
mafanikio.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;"><br /></span></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://2.bp.blogspot.com/-RFA8ODo5vUY/VOFcn1muVBI/AAAAAAAAAKI/ma9x9GO3o2kWjxbWk8_iYOfHCaUy2HRZQCKgB/s1600/soko.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img alt="" border="0" height="300" src="https://2.bp.blogspot.com/-RFA8ODo5vUY/VOFcn1muVBI/AAAAAAAAAKI/ma9x9GO3o2kWjxbWk8_iYOfHCaUy2HRZQCKgB/s400/soko.jpg" title="Jinsi Ya Kupata Wazo La Biashara." width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Tafuta wazo sahihi la kukufanikisha.</td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , sans-serif" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Ili mtu yeyote iwe mimi au wewe uweze
kufanikiwa unahitaji vitu vinne.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">1. MAARIFA/UJUZI juu ya jambo
unalotaka kufanya.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">2. WAZO BORA NA ZURI la
kukuongoza hatua kwa hatua lenye taarifa sahihi juu ya mradi au biashara
husika.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">3. WATU WAZURI wa kushirikiana nao.
Hakuna kazi au mradi unaoweza kuufanya peke yako ila kushirikiana na watu. Hivyo
ni lazima upate watu makini na sahihi wa kushirikiana nao.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">4. MTAJI /PESA ya kuanzishia mradi
lakini zingatia kuwa pesa si chochote katika mradi au biashara hata uwe na
mamilioni ya shilingi kama huna hivyo vitu vingine wazo,maarifa na watu sahihi
sahau kuhusu MAFANIKIO utaangukia pua tu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Kisaikolojia pesa haileti
mawazo, bali mawazo ndiyo huleta PESA. Na hii ndio Imani yangu na falsafa yangu
Kisuda katika maisha yangu ya mafanikio.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Soma; M<a href="http://dirayamafanikio.blogspot.com/2016/04/mambo-ya-kuzingatia-katika-biashara.html" target="_blank">ambo Ya Kuzingatia Katika Biashara.</a></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Sasa nitoe njia 5 za kuweza kukusaidia
wewe rafiki yangu katika kupata wazo la biashara ili uweze kufanikiwa kirahisi
kwa wewe mwenye pesa na mwenye wazo:-<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">1.Tafuta uhitaji wa watu/ tatizo
linalowasibu watu kisha tafuta namna ya kuwatatulia shida /tatizo lao utapata
pesa nyingi sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">2. Boresha wazo la mwingine. Hapa ni
kuangalia tu mapungufu ya mtu katika kazi au biashara halafu una boresha
utendaji kazi na utaona mabadiliko makubwa katika kazi au biadhara yako. Kamwe
usiige wafanyavyo wengine utapata matokeo yaleyale wapatao wao badili njia.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">3. Hamisha wazo kutoka sehemu moja
kwenda nyingine. Hapa na maanisha ukiona mradi au biashara sehemu si lazima
nawe ukafanyie pale unaweza anzisha wazo kama hilo sehemu tofauti na
ukafanikiwa sana.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">4. Rahisisha mchakato au upatikanaji
wa huduma au bidhaa fulani badala ya watu kuifuata sokoni au mjini wapelekee
wewe nyumbani kwao watakulipa pesa nyingi na gharama ya usafiri kwa nini
wakulipe? Umewaokolea muda wao ili wafanye mambo mengine na pia wamepata
wanachotaka kwa wakati.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">5. Tengeneza uhitaji kwa watu. Hapa
ni kubuni Kitu cha ziada ambacho watu wanakihitaji lakini kutokana na muda au
umbali wanaona kama hakina umuhimu sana kwao. Mfano simu za mkononi zimekuja
baada ya barua kuonekana kuchelewa kuwafikia wahusika leo hii taarifa ya dakika
10 imeshasambaa nchi nzima.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , "sans-serif"" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Haya sisi wataalamu tunaita ni
kutengeneza mahitaji ya ziada kwa watu ili wakulipe pesa. UWEZO WAKO WA KUJA NA
MBINU AU WAZO JIPYA TOFAUTI NA MAZOEA YA WATU NDIO CHANZO CHA MAFANIKIO YAKO.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: justify;">
<span face=""verdana" , sans-serif" style="color: #222222; font-size: 12pt;">Ansante kwa kutembelea </span><a href="http://www.dirayamafanikio.blogspot.com/" style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: 12pt;" target="_blank">DIRA YA MAFANIKIO</a><span face=""verdana" , sans-serif" style="color: #222222; font-size: 12pt;"> na endelea kujifunza hapa bila kuchoka.</span></div>
Imani Ngwangwaluhttp://www.blogger.com/profile/09218471790261036057noreply@blogger.com4