google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

May 14, 2020

Utaacha Alama Gani Duniani Siku Ukifa?

No comments :
JE UTAACHA ALAMA GANI SIKU UKIFA?

Utaacha Alama Gani Duniani Siku  Ukifa?

  Lazima ujiulize ya kwamba ni alama gani utaicha chini ya jua kabla hajafa? Kimsingi tunaambiwa na vitabu vya dini ya  kwamba kila binadamu ni mavumbi na atarudi kuwa mavumbi, kauli hiyo inaashiria wazi hakuna atakayeishi milele katika ulimwengu wa mwili labda katika ulimwengu wa roho hii ina maana ya kwamba kila nafsi itaonja umaiti kwa wakati wake. Nisizungumze sana ila maana ibaki pale pale ya kwamba utaacha Alana gani siku ukifa?


SIKILIZA SIMULIZI HII KATIKA YOUTUBE CHANNEL YETU USISAHAU KU SUBSCRIBE

No comments :

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.