google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

Jul 21, 2021

Ukielewa Mafanikio Yanataka Kitu Hiki, Tayari Umefanikiwa.

No comments :

Benki zinatabia ya kuazima watu pesa ambao tayari wameonyesha uwezo wa kutengeneza pesa. Waajiri pia wanatabia ya kuajiri watu ambao wanaamini wana uwezo mkubwa wa kuisaidia kampuni. 

Hata watu ambao ambao tayari wamefanikiwa, ni watu ambao tunasema wana nafasi kubwa ya kuweza kufanikiwa hata baadae pia. Kwa nini iko hivyo, wala si kwa sababu wana bahati au wanajua siri na mbinu zilizofichika au fursa nyingi, HAPANA.

Chukua Hatua Chanya, Utafanikiwa

Watu hao wanafanikiwa kwa sababu, wanajua namna ya kuchukua hatua chanya hata pale kwenye changamoto nzito zinazowakabili na kuweza hadi kufanikiwa kwa viwango vikubwa.

Pasipo kujali ni nini kinakuwakuta kwenye njia ya mafaniko yao, watu hao wana uwezo wa kukabiliana na chochote na kufika mbali kimafanikio. Hata wewe ukijua namna ya kuchukua hatua chanya katika hali yoyote hata kama ni ya kukatisha tamaa, utafanikiwa pia.

Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.

Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.

Hakimiliki © 2021 Imani Ngwangwalu. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.

 

No comments :

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.