google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

Jul 8, 2020

UTAISHI MAISHA GANI BAADA YA UONGOZI,MAISHA YA MBABE YAHAYA ADBULY JAMMEH BAADA YA KUONDOLEWA MADARAKANI KWA NGUVU ZA KIJESHI

No comments :

Watu walikuwa wamesimama Baada ya maisha marefu ya shida na mateso hatimaye watu wa Gambia mapema January 2017 walipata kushudia kitu ambacho pengine hawakukitegemea katika maisha yao kwamba yangetokea ,ilikuwa ni siku ambayo wanagambia walikuwa wanafungua ukurasa mpya wa maisha yao na hii ni baada ya kuishi maisha ya Utumwa kwa mda wa miaka 22 chini ya utawala wa Yahaya Jameh (54) ilikuwa ni siku ya furaha na majonzi kwa wengine pia.

Waandamanaji wakina mama, vijana kwa wazee walikuwa wamejazana uwanja wa ndenge wa taifa la Gambia na wengi walikuwa wanalia na kukubujikwa na machozi wengine walikuwa wanatabasamu kuashiria yamekwisha maana waliokuwa wanayashuhudia waliona kama ndoto kwao ,wengi wa wandamanaji walikuwa wamebeba mabango yaliyosomeka "GO AND FEEL THE PAIN "ulikuwa ni Ujumbe wao wa mwisho wakimaanisha Nenda na wewe ukaonje utamu wa jiwe . 

TAZAMA SIMULIZI NZIMA KATIKA CHANNEL YETU YA YOUTUBE VIDEO IPO HAPO CHINI.
USIACHE KU LIKE, SUBSCRIBE NA KUSHARE

Mpoki Buyah kaminah
 Contacts:0762155025 
Contacts:0624027362 Email:mpokibuya@gmail.com



No comments :

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.