google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

Nov 16, 2022

Hizi Ndizo Faida Za Msamaha.

No comments :

Ipo haja ya wewe kujifunza msamaha hata kama kuna waliokukosea kwa kiasi kikubwa sana.

Ipo faida ya kusamehe. Msamaha unaweza kusababisha: 

1. Mahusiano yenye afya.

2. Kuboresha afya ya akili. 

3. Kupunguza uadui. 

4. Kutengeneza mfumo wa kinga wenye nguvu zaidi. 

5. Uboreshaji wa afya ya moyo. 

6. Kuboresha kujithamini zaidi. 

7. Mungu pia anakuwa anakusamehe, kwa sababu umesamehe.

8. Moyo wako unakuwa hauna maumivu, tofauti na ambavyo ukishindwa kusamehe utaumia.

Hizo ni faida chache za kuwa na msamaha, ukizingatia zitakusaidia kuishi maisha yenye amani na furaha.

Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.

Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.

Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.

Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.

No comments :

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.