google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

Nov 19, 2022

Mambo Ambayo Mungu Hawezi Kufanya..

No comments :

Ni muhimu kujua yapo mambo ambayo Mungu anaweza kufanya kwa ajili yako na yapo baadhi ya mambo ambayo Mungu hawezi kufanya. Hebu, tuangalie mambo ambayo Mungu hawezi kufanya.

1. Mungu hawezi kudanganya.

2. Mungu hawezi kubariki uongo.

3. Mungu hawezi kubadilika.

4. Mungu hawezi kuwa mdogo kuliko changamoto yako.

5. Mungu hakumbushii makosa yaliyopita, akikusamehe amesamehe.

6. Mungu hana upendeleo.

7. Mungu hawezi kukuacha.

8. Mungu hawezi kubariki hali ya mashaka.

9. Mungu hawezi kuvunja agano lake.

10. Mungu hawezi kuwa dhaifu.

Haya ni baadhi ya mambo ambayo Mungu hawezi kufanya kabisa.

Kila la kheri katika kufikia mafanikio makubwa.

Endelea kujifunza kupitia MafanikioApp na dirayamafanikio.blogspot.com kwa ajili ya kujifunza.

Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya mafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.

Hakimiliki©2022 Imani Ngwangwalu. Haki zote zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Rukhsa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ruhusa ya mwandishi.

No comments :

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.