google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

DIRA YA MAFANIKIO

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

Dec 20, 2023

Epuka Sana Kupoteza Muda Wako Wa Mafanikio Kwa Sababu Ya Kitu Hiki.

No comments :
Na Melisa Kawa, Dar es salaam, Tanzania.Kabla hujaanza siku yako mpya, kuna namna ambavyo unakuwa unaipangilia siku yako jinsi itakavyokuwa. Kuna mipango ambayo unakuwa unajua kabisa kwamba utaifanya muda huu au ule, unachokuwa ukifanya ni kwenda na ratiba yako tu ya muda. Sasa...
Read more

Nov 23, 2022

Ushauri Kwa Kijana Aliye Mtaani, Hana Ajira, Haoni Cha Kufanya.

No comments :
Kuna watu hawajui cha kufanya, yaani ni watu ambao hawajui wafanye nini ili walau waingize kipato. Kwa bahati mbaya watu hawa huwa ni wahitimu wa chuo kikuu na wengine ni watu wa kawaida. Hebu fikiria, inakuwaje kwa mhitimu wa chuo kikuu anakuwa hajui cha kufanya? Lakini hali hiyo...
Read more

Nov 22, 2022

WAZO LA KUJIAJIRI: Biashara Ya Vikombe Vya Chai Vyenye kubadili Rangi Vikiwekwa Chai Au Maji Ya Moto.

No comments :
Naam, wala usishangae najua tumezoea kunywa chai kwa kutumia vikombe hivi vya kawaida ambavyo havina kitu cha kushangaza pindi utuamiapo. Sasa katika wazo letu la kujiajiri tunakuleta wazo jipya ambalo kwa baadhi ya watu huenda likawa ni geni kabisa. Wazo hili si jingine bali ni vikombe...
Read more

Nov 21, 2022

Umaskini Wako Unasababishwa Na Kitu Hiki Tu,...

No comments :
Watu sio maskini eti kwa sababu hawana pesa, watu ni maskini ni kwa sababu ya mawazo yao. Unaweza ukawa unapato zuri sana lakini ukabaki kuwa maskini katika maisha. Kitakachokufanya uwe maskini ni matumizi ya mawazo yako katika kukufanikisha. Wapo watu wengi sana ambao...
Read more

Nov 20, 2022

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuweka Jitihada Usikose Pesa.

No comments :
Kukosa pesa ni kilema kikubwa sana katika huu ulimwengu tuliopo. Ukiwa huna pesa changamoto kwako ni nyingi na unakuwa upo kwenye ukilema mkubwa usioujua.Maskini wa kipato kidogo hata akiwa na mawazo mazuri bado hatapewa kipaumbele katika jamii yake kama vile pumba za tajiri zinavyopewa...
Read more

Nov 19, 2022

Mambo Ambayo Mungu Hawezi Kufanya..

No comments :
Ni muhimu kujua yapo mambo ambayo Mungu anaweza kufanya kwa ajili yako na yapo baadhi ya mambo ambayo Mungu hawezi kufanya. Hebu, tuangalie mambo ambayo Mungu hawezi kufanya.1. Mungu hawezi kudanganya.2. Mungu hawezi kubariki uongo.3. Mungu hawezi kubadilika.4. Mungu hawezi kuwa mdogo...
Read more

Nov 18, 2022

Hawa Ndio Marafiki Wa Kuwa Nao.

No comments :
Ni muhimu kuzungukwa na marafiki wazuri, ambao watatupa imani na kujiamini hata kwenye nyakati ngumu. Ukiwa na marafiki wa aina hiyo ni rahisi kuwa mshindi kimafanikio wakati wote.Tatizo la watu wengi wana marafiki ambao hawana msaada. Ukitaka kujua hilo ngoja itokee changamoto, ndio...
Read more

Nov 17, 2022

Hivi Ndivyo Njia Ya Mafanikio Ilivyo...

No comments :
Njia ya mafanikio ni ndefu. Hakuna njia ya mafanikio iliyo fupi. Njia ya mafanikio ni ndefu kwa sababu, katika urefu huo huo, ndimo kuna kujifunza kwingi.Ikiwa unatafuta njia ya mkato, basi wewe unatafuta kuwa na msongo wa mawazo na kijichanganya zaidi. Njia za mkato hazina kujifunza...
Read more

Nov 16, 2022

Hizi Ndizo Faida Za Msamaha.

No comments :
Ipo haja ya wewe kujifunza msamaha hata kama kuna waliokukosea kwa kiasi kikubwa sana.Ipo faida ya kusamehe. Msamaha unaweza kusababisha: 1. Mahusiano yenye afya.2. Kuboresha afya ya akili. 3. Kupunguza uadui. 4. Kutengeneza mfumo wa kinga wenye nguvu zaidi. 5. Uboreshaji...
Read more

Nov 15, 2022

Usitishwe Na Watu Wa Aina Hii...

No comments :
Katika maisha yako unatakiwa usitishwe na watu wa aina mbili, wakosoaji na watu wasio na shukrani. Hawa watu inatakiwa wasikutishe kwa lolote lile, maana ni watu ambao wapo na hawawezi kuisha. Wewe jiruhusu kufanya mambo yako kama kuna ambao watakukosoa acha wakukosoe kwa jinsi...
Read more