google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

Aug 23, 2021

Wakimbie Watu Hawa.

No comments :

Kuna watu ambao wao wana asili ya ugumu tu. Ni watu ambao hawataki vyao vitumike, ila ni watu wanaopenda kutumia vya wengine. Hawa ni watu ambao kama wanyonyaji wa wengine.

Watu hawa ni wazuri sana katika kufurahi, na kucheka na vitu vya watu. Lakini inapofika vya kwao kutumiwa au kuliwa wanakuwa wagumu sana na hawataki hata kidogo kuguswa. 

Unapokuwa na watu kama hawa, jihadhari. Achana na marafiki kama hawa, ambao wao urafiki wao, unapokuwa na kitu, ukikosa kitu wanakutupa. Rafiki wa kweli ni yule akufaae kwa dhiki.

Kwa nini uwe na marafiki wanaotaka kukutumia tu na kukutupa unapokuwa huna kitu. Kataa hili, chagua rafiki bora ambao mnaendana. Achana na marafiki wanafiki maishani.


Kila la kheri katika kufikia mafanikio yako.

Kama unapenda kujiunga na kundi la mafanikio ili uweze kujifunza zaidi mambo mengi ya kimafanikio. Tuma neno THE UNIVERSITY OF WINNER'S kwenda 0687449428 na utapewa utaratibu wa kuunganishwa.

Hakimiliki©2021 Imani Ngwangwalu. Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa 'kushare' na usibadili kitu chochote bila ya ruhusa ya mwandishi.

No comments :

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.