google-site-verification: googleabbfd1327a3af7a3.html

Badili maisha yako sasa kwa kuwa na fikra sahihi.

Kujifunza zaidi juu ya maisha na mafanikio, nakualika kwenye kundi la whats app kujifunza kwa kina. Tututumie ujumbe kwa njia ya whats app kwenda 0687449428 kupata utaratibu wa kujiunga.

Oct 22, 2017

TANGAZO MAALUM; Mashine Za Kutotoleshea Mayai(Incubators) Zinazotumia Solar power au Betri, Zinapatikana Hapa.

5 comments :
Mashine itumiayo betri/solar power kwa ajili ya kutotoleshea mayai.


DM POULTRY FARM PROJECT kwa sasa mbali na mashine tulizonazo za kutotoleshea vifaranga, kwa sasa tunauza pia mashine za kutotoleshea mayai (incubator) zinazotumia SOLAR POWER AU BETRI YA GARI.
Mashine zetu hizi zina ubora wa kiwango cha hali ya juu na zinaweza kutumia umeme, solar power au betri ya gari. Kama umeamua kutumia umeme ni uamuzi wako ila umeme ukikatika unatumia betri yake maalum.
Vile vile mashine zetu hizi mpya  ni 'full automatic,' yaani zinafanya kazi kwa kujitegemea. Kwa maana hiyo zinafanya kazi katika mazingira yoyote yale iwe kijijini ambako hakuna umeme au mjini, kote ni sawa.
Karibu sana ujionee mashine zenye ubora na zenye viwango tofauti na ukubwa tofauti kutegemea na matumizi yako. Mashine hizi tunazo za mayai 45, 90, 180, 240, 300 na 500. 
Huhitaji kulalamika kwamba sina umeme, jibu la changamoto yako sasa limepatikana ikiwa utanunua mashine zetu.
Kwa maelezo zaidi au mawasiliano kuhusu oda yako, piga simu kwa namba 0767 04 80 35 na wote mnakaribishwa.
Mashine ikiwa ofisini kwetu tayari kwa kuuzwa.






5 comments :

Note: Only a member of this blog may post a comment.